Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
sheikh ponda ni nani hata atembelewe hospital jamani? halafu wala hampendezi! hebu jirudishieni wenyewe muone kama nyie mngelazwa sheikh ponda angefanya nini juu yenu! chadema mmeanza cheap politics!shame on you
mix with yours
Nyie hamuwezi kumtembelea Ponda Hosital coz nyie ndo watuhumiwa! Lakini Chadema na Cuf ni wasafi! Na mmeshindwa mkakati wenu wa kutuchonganisha Sisi watz kwa Udini na Ugaidi