BAVICHA Singida wamshukia Nape

unyakhae kwetu ni tusi yaani dume jike kwanini umechagua jina hilo linalofanana na jinsi ulivyo, Slaa ni kiongozi wa chadema wewe gamba inakuhusu nini? au nawe mtoto wa nyumba ndogo kama Nepi Nawaunye umekosa malezi ya dingi ndio maana huna adabu kwa waze
 
Kazi aliyo fanya Slaa ndani ya Chadema ni kubwa na ya kuridhisha, tumepata wabunge,madiwani,na wanachama wengi kila kona ya nchi, angekuwa mamruki asingeiboa ccm kiasi hiki, Eddo,Magafu na Mchange ni vijibwa koko vya ccm, fukuza waende kwa mabasha zao.
 
Kinana acha ujangili, mbona ninyi wasomali wakorofi, sasa tembo wote ukiwamaliza vizazi vitu vitarithi nini, tunajua hicho kichaka ulichojificha ni cha harifu hufanywi kitu, lakini ipo cku utawajua watanzania,rudi somali ukapambane na alshabab sio chadema.
 
Nape KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM-TAIFA na Josephat Isango, MWENYEKITI WA BAVICHA-MKOA SINGIDA hawawezi kuwekwa kwenye ulingo mmoja na wakapambanishwa na watu wakalipia fedha zao kutazama tukio la kifo! Ni sawa na kutoa mtihani wa Chuo Kikuu kwa mtoto wa chekechea ukimshindanisha na mbobezi wa Chuo kikuu.

Wanachofanania watu hawa wawili ni UTANZANIA na kwamba wote ni WAAFRIKA. Wanachotofautiana kabisa miongoni mwao ni uwezo wa kujenga hoja, upeo, hadhi, elimu, uzoefu, fikara na kiwango cha uungwana. Nape kapata malezi ya kiuongozi kutoka kwa wazazi wake na uzoefu wa uongozi kupitia Chama chake.

Ukienda kilabuni, ikiwa wewe u-muungwana, bila shaka yoyote utakereka kwa makelele na nyimbo za walevi na mara nyingine waweza kukasirika sana. Ukiwakasirikia walevi, utakuwa unawakosea na kuwanyima haki yao. Ikiwa kama hoja za Isango ndizo bora kuliko za Nape, basi huyo Isango anao washabiki wa kufanana naye na hao wanayo haki ya kuwa hivyo, na kwakuwa yeye ni bora kuliko wao na wamfuate kwani hatutakuwa tumepoteza kitu

Ninawasiwasi sana na uwezo wako wa kufikiri hakika, samahani kama nitakua nimekutusi, kwako shida ni cheo au uwezo wa kujenga hoja? Kwa mtu yeyote makini, huwezi msifia Nape Nnauye kwa ujenzi wa hoja, hivi mtu makini unaweza kusema fulani ana kadi yetu hivyo ni mwananchama wetu wakati mtu huyo huyo anakitesa chama unachosema yeye ni mwanachama wake? Well tena mtu mwenyewe halipi hata michango na ada za chama? Anajua kweli hata katiba ya chama chake anacho kiongoza kweli huyu? Hivi sifa za mtu kuwa mwanachama huwa ni zipi? Mojawapo si ni hiyo ya mtu kuhamia chama kingine, wapi katika chama imeandikwa, once unapoondaka kwenye chama A kwenda B lazima urudishe kadi ya chama hicho ulicho kiasi? Hilo Moja, huyu huyu alisikika akisema eti, Elimu Bure ni sera ya ccm, kwa uwezo wako wa kutunza kumbukumbu za juzi tu, hilo hivi ni kweli? Mi nadhani hiyo ilikua sera ya Mwl. JK Nyerere (RIP) magamba hiyo wamekua wanaipigia kelele kwamba haiwezekani, tena hata huyo katibu mkuu mpya, nilimwona mwenyewe Star TV akifanya interiew, yeye alikua Dar na DR. Slaa akiwa Mwanza wakati ule wa kampeni, let just be serious, kuitetea ccm, nakubaliana na mtu 1 hapa alisema, kunahitaji akili ya mwendawazim au maiti, hiki chama hakiteteeki hiki, kipo tu ICU, mbona haya hata media zinazofanya utafiti wa kutosha zinakiri hivyo? Umeangalia CNN lakini mkuu!

Misango ni zaidi ya Nape, tofauti zao ni vyeo tu, huyu yupo Taifa na mwingine yupo ngazi ya mkoa, hilo naomba nalo usije ukaona kama ni sifa, si kila mwanafunzi anayeshika nafasi ya kwanza hua na akili kuliko wanfunzi wote, inawezekana akawa na akili kwenye hilo darasa lake na sio wanafunzi wote, unaweza kuwa wa kwanza kwenye darasa la wajinga, siku ukipelekwa darasa la werevu utajikuta uanshika nafasi ya mwisho, muulize Nape kwenye Kura za maoni za ubunge mwaka 2010, aligombea ccm akiwa hana pesa (hii inajulikana ndani ya ccm, no money no Vote, of course kumbuka alikua na bifu ma katibu mkuu wa chama wakati huo) alipotaka kuja CHADEMA aliwe hilo sharti la kua mgombea ubunge pale Ubungo, aliaambiwa, Mnyika ni zaidi yako wewe, ni kama Mto na Bahari, na wote tuanaona!
 
Lucas Kisimir Unaweza ukawa umefika chuo kikuu na ukawa hata na PHD au ukawa Lecturer wa chuo kikuu lakini ukashindwa kujenga hoja ya maana kwa tunaweza kuwaita Wasomi wapumbavu.Ona jinsi baraza letu la mawaziri lilivyo sheheni wasomi wa chuo kikuu lakini je,kuna mtu anapiga vitu ubaradhuli unaofanywa na baadhi yao?Je wanapiga vita rushwa na ufisadi?Angalia huku kwenye chama chetu kipenzi chama tawala wameweza kukemea kumchagua mtu sababu ni mtoto au ndugu wa Rais au Waziri au mwenye wadhifa na mtoto wa mwanakijiji wameachwa nyuma ukimwita hana elimu ya kutosha.Jiulize nani wa kumpa huyu kijana elimu?
Ukiangalia majibu ya kidato cha nne angalia watoto hao walivyofanya wengine wengeweza kufaulu vizuri zaidi kama wangepewa haki sawa ya elimu bora.
Siyo watoto wote wa viongozi wana elimu na mawazo mazuri ya kujenga nchi yao,wengi wao ni Wasomi wapumbavu.
 
Nilishasema humu JF Kuwa NAPE uwezo wake wa kufikiri ni <20% ya Umri na Umbo lake la mwili.
 
una id ngapi wewe isango?naona unajipigania kwa kujipongeza kwa majina tofautitofauti.
Najua Isango atakupuuza kama ambavyo watu wengine humu walivyokupuuza kwa sababu ya upuuzi wako,Wewe huyu Isango ndio kwanza unamsoma humu JF?hebu mtafute kwenye anga zake ndio utajua kuwa kwa upeo wako kimini huna hadhi hata ya kujibu post yake,BTW hongera kwa kutimiza siku tatu hapa JF!
 
Nape KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM-TAIFA na Josephat Isango, MWENYEKITI WA BAVICHA-MKOA SINGIDA hawawezi kuwekwa kwenye ulingo mmoja na wakapambanishwa na watu wakalipia fedha zao kutazama tukio la kifo! Ni sawa na kutoa mtihani wa Chuo Kikuu kwa mtoto wa chekechea ukimshindanisha na mbobezi wa Chuo kikuu.

Wanachofanania watu hawa wawili ni UTANZANIA na kwamba wote ni WAAFRIKA. Wanachotofautiana kabisa miongoni mwao ni uwezo wa kujenga hoja, upeo, hadhi, elimu, uzoefu, fikara na kiwango cha uungwana. Nape kapata malezi ya kiuongozi kutoka kwa wazazi wake na uzoefu wa uongozi kupitia Chama chake.

Ukienda kilabuni, ikiwa wewe u-muungwana, bila shaka yoyote utakereka kwa makelele na nyimbo za walevi na mara nyingine waweza kukasirika sana. Ukiwakasirikia walevi, utakuwa unawakosea na kuwanyima haki yao. Ikiwa kama hoja za Isango ndizo bora kuliko za Nape, basi huyo Isango anao washabiki wa kufanana naye na hao wanayo haki ya kuwa hivyo, na kwakuwa yeye ni bora kuliko wao na wamfuate kwani hatutakuwa tumepoteza kitu

kama mwenyekiti wa mkoa anauwezo wa kujenga namna hii!hakika cdm ina hazina YA VIJANA WENYE WEREDI WA KUTOSHA NA TUNU KWA TAIFA LETU
 
Back
Top Bottom