Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
hahahaha Arusha tulikuwa tuna wasubiri waje kufanya hayo maandamano waliyo yasema...
hahahaha Arusha tulikuwa tuna wasubiri waje kufanya hayo maandamano waliyo yasema...
Bavicha kumejaa mavuvuzela tu
Nape KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM-TAIFA na Josephat Isango, MWENYEKITI WA BAVICHA-MKOA SINGIDA hawawezi kuwekwa kwenye ulingo mmoja na wakapambanishwa na watu wakalipia fedha zao kutazama tukio la kifo! Ni sawa na kutoa mtihani wa Chuo Kikuu kwa mtoto wa chekechea ukimshindanisha na mbobezi wa Chuo kikuu.
Wanachofanania watu hawa wawili ni UTANZANIA na kwamba wote ni WAAFRIKA. Wanachotofautiana kabisa miongoni mwao ni uwezo wa kujenga hoja, upeo, hadhi, elimu, uzoefu, fikara na kiwango cha uungwana. Nape kapata malezi ya kiuongozi kutoka kwa wazazi wake na uzoefu wa uongozi kupitia Chama chake.
Ukienda kilabuni, ikiwa wewe u-muungwana, bila shaka yoyote utakereka kwa makelele na nyimbo za walevi na mara nyingine waweza kukasirika sana. Ukiwakasirikia walevi, utakuwa unawakosea na kuwanyima haki yao. Ikiwa kama hoja za Isango ndizo bora kuliko za Nape, basi huyo Isango anao washabiki wa kufanana naye na hao wanayo haki ya kuwa hivyo, na kwakuwa yeye ni bora kuliko wao na wamfuate kwani hatutakuwa tumepoteza kitu
nakukubali na falsafa zako Isango ujaliwe uzima kiongozi wetu hazina usikate tamaa wala usiogope songa mbele
Najua Isango atakupuuza kama ambavyo watu wengine humu walivyokupuuza kwa sababu ya upuuzi wako,Wewe huyu Isango ndio kwanza unamsoma humu JF?hebu mtafute kwenye anga zake ndio utajua kuwa kwa upeo wako kimini huna hadhi hata ya kujibu post yake,BTW hongera kwa kutimiza siku tatu hapa JF!una id ngapi wewe isango?naona unajipigania kwa kujipongeza kwa majina tofautitofauti.
Nape KATIBU WA SIASA NA UENEZI CCM-TAIFA na Josephat Isango, MWENYEKITI WA BAVICHA-MKOA SINGIDA hawawezi kuwekwa kwenye ulingo mmoja na wakapambanishwa na watu wakalipia fedha zao kutazama tukio la kifo! Ni sawa na kutoa mtihani wa Chuo Kikuu kwa mtoto wa chekechea ukimshindanisha na mbobezi wa Chuo kikuu.
Wanachofanania watu hawa wawili ni UTANZANIA na kwamba wote ni WAAFRIKA. Wanachotofautiana kabisa miongoni mwao ni uwezo wa kujenga hoja, upeo, hadhi, elimu, uzoefu, fikara na kiwango cha uungwana. Nape kapata malezi ya kiuongozi kutoka kwa wazazi wake na uzoefu wa uongozi kupitia Chama chake.
Ukienda kilabuni, ikiwa wewe u-muungwana, bila shaka yoyote utakereka kwa makelele na nyimbo za walevi na mara nyingine waweza kukasirika sana. Ukiwakasirikia walevi, utakuwa unawakosea na kuwanyima haki yao. Ikiwa kama hoja za Isango ndizo bora kuliko za Nape, basi huyo Isango anao washabiki wa kufanana naye na hao wanayo haki ya kuwa hivyo, na kwakuwa yeye ni bora kuliko wao na wamfuate kwani hatutakuwa tumepoteza kitu