Yes! Nakukubali sana mpiganaji wangu Josephat Isango.
Ahsante BAVICHA-SINGIDA kwani Chama kinahitaji vijana wenzangu kama nyie na sio wale waasi.
Peoples power.
safi sana mpiganaji! Wataaibika mpaka point ya mwisho nape jr upo ? Umeipata?
Nimeambulia kitu humu.. Mbona watu wa CHADEMA wakiandika vitu ukavisoma Yaani vinaeleweka kabisa.. Tofauti Na M-CCM , akiweka bandiko ukalisoma Yaani hadi kichwa kinakuuma, post Za William, Nape Na mask zao zote, ukisoma hadi unajiuliza hivi huyu Mtu kweli ana akili au karogwa..
Siongelei kishabiki lakini wewe soma tu lazima wakukere, hakuna mwenye uwezo Wa kujenga hata robo ya Hoja.. Naamini sasa wenye akili wote wameshahama ccm.. True
Ndugu Lucas Casmir,Ikiwa kama hoja za Isango ndizo bora kuliko za Nape, basi huyo Isango anao washabiki wa kufanana naye na hao wanayo haki ya kuwa hivyo, na kwakuwa yeye ni bora kuliko wao na wamfuate kwani hatutakuwa tumepoteza kitu
basi mama na mjomba wake wamemlea kijana vizuri katika maadili mema ya kiutu na kibinadam,hongera zao sana na mungu awabariki.....viva nape.....endelea kutupa tusioyajua watanzania..kadi mbili mtu mmojaNdugu Lucas Casmir,
Ningependa kukufahamisha kuwa Nape hakuwahi hata mara moja kuishi na mzee Nnauye!!
Kwa hiyo hakuwahi kupata malezi ya huyo mzee iwe ya kijamii ama ya kiuongozi.
Kitu wasichokifahamu wengi ni kuwa kwa miaka yote tangu Nnape azaliwe ameishi na kulelewa na mama yake na baadaye na mjomba wake..Nina hakika utakuwa umeshtuka sana kupata hizi habari.
ukweli ni ukweli hata kama haufurahishi baadhi ya watu.
nakukubali na falsafa zako Isango ujaliwe uzima kiongozi wetu hazina usikate tamaa wala usiogope songa mbele
nakukubali na falsafa zako Isango ujaliwe uzima kiongozi wetu hazina usikate tamaa wala usiogope songa mbele
Hili ndio jukumu la viongozi wa vijana , kwani sisi wengine tunashangaa sana kuona hayo yanayoendelea kwenye baraza lenu na matamko husika