Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
thanx but endelea kutujuza. usisahau picha.
Mleta mada keshapigwa ban,au hamuoni?kama kuna mwingine yuko maeneo hayo ajitolee ku update,otherwise kama an id mbili.
Mleta mada keshapigwa ban,au hamuoni?kama kuna mwingine yuko maeneo hayo ajitolee ku update,otherwise kama an id mbili.
Picha mkuu ili 2pate uhondo zaidi!
watasema M4C wamekuja kwa kofia ya BAVICHA.
Nimeipenda M4C kwa sababu inamaanisha kile kilichokusudiwa yaani "ama uache wapite (wamuvuzishe) au damu imwagike" wakati ile ya CUF V4C (Vision for change) Lakini mbaya zaidi ni hii ya leo ya cuf kuwa CCM Maana yake ni "Christian Church Movement" .........................siasa inawapagawisha watu kinommm///???