EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Unaijua ofisi ya kwanza ya CCM pale Magomeni ilikuwa na vyumba vingapi nafikiri nyie mmezaliwa juzi enzi za ufisadi hamjui tulikotoka.Siku zote walikuwa wapi? wenzao wanawekeza kwenye ma high rise wao ndio wanaanza na nyumba ya vyumba sita?