Bavicha hiyooooooooo

Bavicha hiyooooooooo

Siku zote walikuwa wapi? wenzao wanawekeza kwenye ma high rise wao ndio wanaanza na nyumba ya vyumba sita?
Unaijua ofisi ya kwanza ya CCM pale Magomeni ilikuwa na vyumba vingapi nafikiri nyie mmezaliwa juzi enzi za ufisadi hamjui tulikotoka.
 
Unaijua ofisi ya kwanza ya CCM pale Magomeni ilikuwa na vyumba vingapi nafikiri nyie mmezaliwa juzi enzi za ufisadi hamjui tulikotoka.

Mkuu, ebu tufahamishe hiyo ofisi ya kwanza ya CCM ya Magomeni sehemu gani?
 
Baba MwanaAsha Party, pamoja na kua na ofisi kubwa kipi cha maana kinachoendelea? Yaani ukipata kwenye baadhi ya Ofisi zimegeuka masikani ya Panya, halafu mbaya zaidi ni Chafu na waliomo ofisini ni vizee, kazi yao kusoma Magazeti Ya Uhuru:. Pembeni kuna birika la kahawa
 
taharifa ndo nini? Acha kutuchanganyia kilugha chenu unakuwa kama wale akina mwita wakinunua key body wanan'goa button ya L as huwa haitumiki kabsaaaaa,wao kila kiru ni R!

Ha haaa nimecheka sana ikabidi niangalie key ya simu ya jamaa yangu kama ipo looh zote zimefutika isipokuwa "L".
 
taharifa ndo nini? Acha kutuchanganyia kilugha chenu unakuwa kama wale akina mwita wakinunua key body wanan'goa button ya L as huwa haitumiki kabsaaaaa,wao kila kiru ni R!
Na wewe 'kiru' ndio nini.
 
Kinondoni tena????
Hebu tafuteni maeneo mengine, tumeshawachoka huku kwetu!!

kwenu ni chumbani kwako na mkeo!! are you out of your head?? wewe ni mhimili mkubwa wa ufisadi ndio maana unaogopa sauti ya demokrasia karibu yako hama wewe!1
 
kwenu ni chumbani kwako na mkeo!! are you out of your head?? wewe ni mhimili mkubwa wa ufisadi ndio maana unaogopa sauti ya demokrasia karibu yako hama wewe!1
Naona nyie CDM hamna sera nyingine. Kila siku mnaongolea tu ufisadi! Njooni na hoja nyingine, hilo neno tayari tumeshalichoka!
Una haki ya kuhama. You won't be missed.
Najaribu tu kuwapa changamoto hawa wachaga wenzangu CDM wasing'ang'anie eneo moja tu!!
 
Waungwana wakati vijana wa vyama vingine wakiwa hoi, Baraza la Vijana la Chadema BAVICHA leo limefungua rasmi ofisi zao zilizopo mtaa wa Togo Kinondoni. Hii ni ishara ya vijana hawa kuendelea kujiimarisha kisawa sawa na hii ni hatua muhimu katika mapambano.

Pongezi za dhati kwa hatua hii BAVICHA.

Vijana wa vyama vingine muige mfano huo kama kweli kama unataka kutoa upinzani wa kweli.
 
Sasa inabidi BAVICHA mkazane ili mtutengenezee tovuti (WEBSITE) ili tuwe tunapata taarifa za baraza kirahisi. Mimi nadhani hili si swala la kusubiri. Umma wa vijana unahitaji kupashwa habari.

Pia tunahitaji kuona movement zenu vijijini huko walipo vijana wenzetu. Hamuhitaji kukaa ofisini. Waacheni UVMASABURI wakae ofisini wakigawana ufisadi.

Nadhani Munishi na Heche mmetupata!
 
Sasa inabidi BAVICHA mkazane ili mtutengenezee tovuti (WEBSITE) ili tuwe tunapata taarifa za baraza kirahisi. Mimi nadhani hili si swala la kusubiri. Umma wa vijana unahitaji kupashwa habari.

Pia tunahitaji kuona movement zenu vijijini huko walipo vijana wenzetu. Hamuhitaji kukaa ofisini. Waacheni UVMASABURI wakae ofisini wakigawana ufisadi.

Nadhani Munishi na Heche mmetupata!

Mkuu,

Ingependeza sana kama ungeingia moja kwa moja kwa jina lako mkuu ili uache kutumia lugha za hovyo.....

Pia,niwapongeze BAVICHA kwa harakati.Tuendelee kujiimarisha kuelekea safari yetu ya ukombozi
 
Hongereni sana Vijana, ila isiwe ni makao makuu tu kwa kuanzia fungueni na office za mikoa yote
 
Back
Top Bottom