Bavicha hiyooooooooo

Bavicha hiyooooooooo

Kila mtu ameshachoka kuisikia CDM kinondoni kinondoni...kama Kodi za pango za maeneo kama Ilala zinawashinda, tuambie tutawachangia

Mkuu Rejao,
Kwani hapo Kinondoni ni jengo lao au wamepanga tena?
 
Mkuu Rejao,
Kwani hapo Kinondoni ni jengo lao au wamepanga tena?

Hiyo ni ofisi chalii!

Swala la kupanga ama kununua halihusu.

Kwani pale mnapoishi nyie mmenunua ?
Acha ushamba.
 
Siku zote walikuwa wapi? wenzao wanawekeza kwenye ma high rise wao ndio wanaanza na nyumba ya vyumba sita?
 
Hawana ubavu wa kumiliki jengo lolote hapa jijini. Wamepanga kama kawaida yao

Kwani ruzuku zote zinakwenda wapi wanazopewa ni aibu chama kikubwa kama Chadema, kupanga upande wa nyumba halafu watu wanashangilia kama hatua ya mafanikio.
 
Kwani ruzuku zote zinakwenda wapi wanazopewa ni aibu chama kikubwa kama Chadema, kupanga upande wa nyumba halafu watu wanashangilia kama hatua ya mafanikio.

Mbona mnaulizana na kupeana majibu wenyewe kama maigizo au waimba taarabu vile?tutajieni majengo matano ambayo c.c.m wamemiliki kwa nguvu zao wenyewe bila ya kusurutisha nguvu za wananchi katika kipindi cha mfumo wa chama kimoja?kama kupanga vinapanga vyama vikubwa duniani na vilivyo smart kama Labour Uk ndio iwe Cdm?msiwe watu mliofilisika kisera kichwani kiasi hiko!msitake kujihalalishia kua nyie ni vichwa box
 
Mbona mnaulizana na kupeana majibu wenyewe kama maigizo au waimba taarabu vile?tutajieni majengo matano ambayo c.c.m wamemiliki kwa nguvu zao wenyewe bila ya kusurutisha nguvu za wananchi katika kipindi cha mfumo wa chama kimoja?kama kupanga vinapanga vyama vikubwa duniani na vilivyo smart kama Labour Uk ndio iwe Cdm?msiwe watu mliofilisika kisera kichwani kiasi hiko!msitake kujihalalishia kua nyie ni vichwa box

Mkuu, kwa hiyo suala la kupanga vyumba mmeiga kutoka chama cha Labour cha uingereza?
 
Mbona mnaulizana na kupeana majibu wenyewe kama maigizo au waimba taarabu vile?tutajieni majengo matano ambayo c.c.m wamemiliki kwa nguvu zao wenyewe bila ya kusurutisha nguvu za wananchi katika kipindi cha mfumo wa chama kimoja?kama kupanga vinapanga vyama vikubwa duniani na vilivyo smart kama Labour Uk ndio iwe Cdm?msiwe watu mliofilisika kisera kichwani kiasi hiko!msitake kujihalalishia kua nyie ni vichwa box

Hao ni kama waarabu wa Pemba. Hujuana kwa vilemba vyao. Kwa hiyo usishangae wakiulizana na kujibizana wenyewe kam wanaimba ngonjera vile!

Wanunue wasinunue! haijalishi hapa. Kinchojalisha ni wapi vijana wanapatikana and thats all as adress matters a lot!
 
Mkuu unavuta shuka wakati kushapambazuka? tene kwa taharifa yako mwaka 2015 ilo jimbo linachukuliwa na CDM

taharifa ndo nini? Acha kutuchanganyia kilugha chenu unakuwa kama wale akina mwita wakinunua key body wanan'goa button ya L as huwa haitumiki kabsaaaaa,wao kila kiru ni R!
 
Kila mtu ameshachoka kuisikia CDM kinondoni kinondoni...kama Kodi za pango za maeneo kama Ilala zinawashinda, tuambie tutawachangia

Ofisi yenyewe chumba kimoja{ft 5*5}
 
Mkuu, kwa hiyo suala la kupanga vyumba mmeiga kutoka chama cha Labour cha uingereza?

Mkuu labour nimetoa mfano tu,vyama vingi duniani tena hata kwenye nchi zilizoendelea si kua wanamiliki majengo yao kila sehemu,mfano mzuri labour na conservative wote wame ren offices katika jengo linaloitwa Millbank Tower ambalo lipo London,kilichowatofautisha ni floorz tu,nachojaribu kuweka sawa,sio mpaka uwe na mijengo mikubwa unayo miliki ili kufanya shughuli zilizotukuka kuwaletea maendeleo wananchi,after all haujajibu swali langu ambalo niliomba mnitajie majengo matano tu ambayo c.c.m imejenga kwa nguvu zake na bila kushurutisha nguvu ya wananchi ktk kipindi cha mfumo wa chama kimoja!it will be prudent if we consider issues in a positive way lather than dwelling in a negativity,wananchi wanataka ahueni ya maisha na umilikishwaji wa rasilimali zao,sifa za chama iki kina miliki hv chama kile kinamilike kile wakati wanao hitaji kutumikia wanazidi kudidimia day by day inasaidia nini mkuu?fikiria
 
Hawana ubavu wa kumiliki jengo lolote hapa jijini. Wamepanga kama kawaida yao
kinondoni kwa kuwa wapiga kura wake hawadanganyiki kwa ubwabwa kama ccm inavyowadanganya ilala na temeke!
 
Heche anaonesha njia maana kipindi anaingia madarakani aliahidi kuweka makao makuu ya vijana yanayojitegemea sasa tunaomba Blog zenu bavicha na kila aina ya contact mweke waz ila kila anayewatafuta awapate,pia hongera munishi! Na viongozi wengne
 
Back
Top Bottom