Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,961
Sio vidole kuwasha ni njia ya kuishi na mzee @vuta ni kuvute kasema atakusanya i pad zote maana lengo halikufanikiwa.
Hahahahaaaa kumbe wana vitendea kazi kabisa!!!!
Sio vidole kuwasha ni njia ya kuishi na mzee @vuta ni kuvute kasema atakusanya i pad zote maana lengo halikufanikiwa.
Chadema Tulishaizika tangu Kalenga.
baadhi ya wagombea wamelalamika baadhi yao wametumia rushwa kati ya alfu thalasini na hamsini kuwarubuni wajumbe.
mytake hii ni hatari
sourxce startv magazeti
chadema 2015 itakuwa stori itakayowasumbua wengi. huwezi kumkana zzk ukabaki salama
Hayakuhusu. Ya CHADEMA waachie wenyewe. GT si kuwa mbea na mropokaji
- Waache hao wafu wazikane wenyewe eti bavicha ndio nini hapa bongo?
Le Mutuz
Unacheka umetekenywa au?- Unasema nibadilike nijifunze kutoa Rushwa kama huko uchaguzi wa Bavicha, hahahahahahahah U know
Le Mutuz
baadhi ya wagombea wamelalamika baadhi yao wametumia rushwa kati ya alfu thalasini na hamsini kuwarubuni wajumbe.
mytake hii ni hatari
sourxce startv magazeti
chadema 2015 itakuwa stori itakayowasumbua wengi. huwezi kumkana zzk ukabaki salama
Vijana wa Bavicha wana hongeka kirahisi sana!
vijana wa bavicha wana hongeka kirahisi sana!
Wamemwachia Joseph Ludovick anajamba jamba tu humuMleta mada ninakuhakikishia kungekuwa na rushwa au hata dalili wale vijana wa buku saba Lumumba wangekesha humu JF!!! .
baadhi ya wagombea wamelalamika baadhi yao wametumia rushwa kati ya alfu thalasini na hamsini kuwarubuni wajumbe.
mytake hii ni hatari
sourxce startv magazeti