Eng.Livingstone
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 880
- 227
Wadau nimefuatia chaguzi hizo za ndani kwa vijana wa CDM maana yalitajwa majina ya kila aina, majina makubwa kwa madogo nikimaanisha yanajulikana sana na yasiyojulikana sana lakini wote ni wanachadema. Sasa wadau mlioshiriki kuchagua na kuomba kuchaguliwa, vipi kulikuwa na rushwa au harufu ya rushwa katika chaguzi hizo kama ilivyozoeleka katika chaguzi mbalimbali ndani ya vyama vyetu vya kisiasa hapa nchini?.
Harufu ya RUSHWA ipo huko kwenu kwa mamluki ATC na MMC
Huku kwetu RUSHWA ni dhambi kama KUUA