BAVICHA, BAWACHA rushwa nje nje

BAVICHA, BAWACHA rushwa nje nje

Kwa jinsi vyombo ya dola vya Tz vinavyofanya kazi kwa kuangalia aina na mtoaji, TAKUKURU wangeishakamata mtu hapo ili kuonyesha umahiri wao na kutoa fundisho kwa watu wengine wenye tabia kama hizo.

sio rahisi tskukuru kuingia chooni
 
nimeamini. hakuna demo krasia. nimeudhika sana. pomoja nakamanda. kukesha
 
naskia ulijitangaza unamiliki yadi ya magari kumbe ni dalali tu. babako tushamzika kisiasa basi wewe sahau kutoka. utaishia kushoboka mitandaoni tu.

Na kujipendekeza kwa watoto wadogo kama akina Riz-1
Ha! ha! ha!
 
- hahahahahahah MAUKAWA wazee wa Rushwa bavicha uchaguzi unafanyikia Ml;iman City sasa ulitegemea nini kama sio rushwa tupu U know

Le Mutuz

Eti ni kweli Anna Kilango ndio amekulea na anaendelea kukulea?
 
- waache hao wafu wazikane wenyewe eti bavicha ndio nini hapa bongo?

Le mutuz

kichwa nazi!
-jamaa unafuatilia mambo binafsi kwenye nyumba ya jirani?,
khaaa! Kweli vijana wa c.c.m kalaana ka ufisadi kapo vichwani mwenu.
 
- Waache hao wafu wazikane wenyewe eti bavicha ndio nini hapa bongo?

Le Mutuz
Haaaaahaaaaa we Maryooo kumbe upo....??? nasikia wewe na baba yako mnalelewa na Mama Anne Killango....!!?? aibu kubwa kwa familia hii
 
- hahahahahahah MAUKAWA wazee wa Rushwa bavicha uchaguzi unafanyikia Ml;iman City sasa ulitegemea nini kama sio rushwa tupu U know

Le Mutuz

wewe badala uweke mikakati ya kmng'oa Lusinde umekalia tu humu kupiga soga unafikiri ubunge unapatikana kwenye kisoda?
 
Mzee Wangu Le Mutuz Hayo Matusi Na Kashfa Umeyataka Mwenyewe Subiri Na Mengine Yanakuja
 
Haaaaahaaaaa we Maryooo kumbe upo....??? nasikia wewe na baba yako mnalelewa na Mama Anne Killango....!!?? aibu kubwa kwa familia hii

duuh kumbe le kubwaz mama yake sio kilango? kwa wote wanalelewa
 
- Waache hao wafu wazikane wenyewe eti bavicha ndio nini hapa bongo?

Le Mutuz

Siku hizi umeacha kuvaa heleni naona umejiweka kwenye kundi la wanaume tambua kuwa asili yako hautaiacha na hiki kinajidhihirisha kutokana na michango yako hapa JF kwani imekaa ki s.. ga s..ga
 
- Waache hao wafu wazikane wenyewe eti bavicha ndio nini hapa bongo?

Le Mutuz
Unajua wee jamaa huwa hufaninii kabisa na comment zako na wewe ulivyo. Badilika bhana kwani unastahili kuwaza tofauti na ulivyo sasa. Ivi huko nje mkienda huwa hamjifunzi maana ndo mnazidi kufifia kifkra.
 
Back
Top Bottom