Batuli wa Bongo movie ananitesa sana

Batuli wa Bongo movie ananitesa sana

mzee wa misele

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2015
Posts
366
Reaction score
46
Habari wakuu,

Kuna mdada mmoja muigizaji wa Bongo movie anaitwa batuli nimetokea kumpenda sana kila siku napenda kuangalia movie zake huwa natamani sana kukutana nae, nikiangalia tabasamu lake ndo ananimaliza kabisa.

Wakuu naitaji kuwa na huyu dada kwa gharama zozote zile au kama kuna mtu anajuwa anapoishi au namba zake.

Naomba ni PM tafadhali , naombeni mnisaidie kijana wenu maisha ya useja yamenishinda.
 
Mtafute mtu anayeitwa Steve Nyerere atakusaidia!
 
Hahahaa Batuli umelala,hapana sijalala nipo naangali zawadi yangu hapa nje...Subiri wanakuja wadau wanaomjua Huyo mdada batuli.FAKE SMILE MOVIE ALIYOCHEZA NA MAREHEMU KANUMBA.
 
Habari wakuu,

Kuna mdada mmoja muigizaji wa Bongo movie anaitwa batuli nimetokea kumpenda sana kila siku napenda kuangalia movie zake huwa natamani sana kukutana nae, nikiangalia tabasamu lake ndo ananimaliza kabisa.

Wakuu naitaji kuwa na huyu dada kwa gharama zozote zile au kama kuna mtu anajuwa anapoishi au namba zake.

Naomba ni PM tafadhali , naombeni mnisaidie kijana wenu maisha ya useja yamenishinda.

Look alike vipi, utakubali?
 
Mimi nakimbia TATIZO,Wewe mkuu unatafuta TATIZO duh!!! Uvumilivu unao lakini???
 
Habari wakuu,

Kuna mdada mmoja muigizaji wa Bongo movie anaitwa batuli nimetokea kumpenda sana kila siku napenda kuangalia movie zake huwa natamani sana kukutana nae, nikiangalia tabasamu lake ndo ananimaliza kabisa.

Wakuu naitaji kuwa na huyu dada kwa gharama zozote zile au kama kuna mtu anajuwa anapoishi au namba zake.

Naomba ni PM tafadhali , naombeni mnisaidie kijana wenu maisha ya useja yamenishinda.

unataka ugomvi na mkuu wa wilaya muachie mchepuko wake
 
Habari wakuu,

Kuna mdada mmoja muigizaji wa Bongo movie anaitwa batuli nimetokea kumpenda sana kila siku napenda kuangalia movie zake huwa natamani sana kukutana nae, nikiangalia tabasamu lake ndo ananimaliza kabisa.

Wakuu naitaji kuwa na huyu dada kwa gharama zozote zile au kama kuna mtu anajuwa anapoishi au namba zake.

Naomba ni PM tafadhali , naombeni mnisaidie kijana wenu maisha ya useja yamenishinda.


nji ushujaa kujipeleka kwenye kifo.....hongera na pole sana
 
Back
Top Bottom