Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,549
- 4,764
maisha hayana fomula.Kila mtu anafanikiwa kulingana na kudra za mwenyezi MUNGU.ukifanikiwa shukuru na sio kuanza kudharau wengine sababu wamekwama.
ila ELIMU ni yamuhimu kuliko unavoweza kufikiria.
ila ELIMU ni yamuhimu kuliko unavoweza kufikiria.