BATTLE: Tabora Vs Singida

Gluk

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,856
2,953
Hallow.
Leo napenda tujadili na kuangalia fursa zilizo katika mikoa hii miwili niliyoitaja.
Lengo ni kupanua wigo wa vijana wanaotafuta fursa katika nchi yetu hii ya Tanzania.
Nitakuwa nikileta hapa mikoa miwili miwili inayoshabihiana katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kumuwezesha kijana au mtu yeyote kuona fursa zilizo katika mikoa husika na kuona ni namna gani anaweza kuwekeza katika eneo husika, kulingana na anatakavyoona kuwa inafaa

Nikianza na tabora ni mkoa unaozalisha Tumbaku na asali kwa wingi.

Singida wanalima sana sana kilimo cha alizeti.
Tuangalie mkoa gani una fursa zaidi.
Gharama za maisha na tamaduni za wakazi wa maeneo hayo mawili .

Tujadili bila kuweka mahaba na kutotoa lugha zisizofaa

NB: Nawa mkono, Epuka misongamano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Singida furusa
Asali nyingi kama tabora maeneo ya isuna
Vitunguu maji. Wilaya ya singida vijijini
Ufugaji wa mbuzi na ng'ombe
Kuku wa kienyeji
Karanga
Ni centre ya nchi
Miundombinu ya barabara ni mzuri

Tabora
Tumbaku
Mchele nzega na igunga
Mbao za miti ya asili
Asali namba 1tz
Uwindaji
Ufugaji ng'ombe
Usafiri wa ndege
Ipo karibu na wazalishaji wa chakula Rukwa na katavi
 
Hallow.
Leo napenda tujadili na kuangalia fursa zilizo katika mikoa hii miwili niliyoitaja.
Lengo ni kupanua wigo wa vijana wanaotafuta fursa katika nchi yetu hii ya Tanzania.
Nitakuwa nikileta hapa mikoa miwili miwili inayoshabihiana katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kumuwezesha kijana au mtu yeyote kuona fursa zilizo katika mikoa husika na kuona ni namna gani anaweza kuwekeza katika eneo husika, kulingana na anatakavyoona kuwa inafaa

Nikianza na tabora ni mkoa unaozalisha Tumbaku na asali kwa wingi.

Singida wanalima sana sana kilimo cha alizeti.
Tuangalie mkoa gani una fursa zaidi.
Gharama za maisha na tamaduni za wakazi wa maeneo hayo mawili .

Tujadili bila kuweka mahaba na kutotoa lugha zisizofaa

NB: Nawa mkono, Epuka misongamano.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tabora kuna matatizo makubwa. Viongozi wanatenda kwa matukio, Askari jeshi ndio washika doria. Bar zinafunguliwa saa 10 lakini pombe shujaa, coffee, shimhwa nk zinauzwa madukani na vijana wadogo kwa wakubwa wanakunywa kama kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hallow.
Leo napenda tujadili na kuangalia fursa zilizo katika mikoa hii miwili niliyoitaja.
Lengo ni kupanua wigo wa vijana wanaotafuta fursa katika nchi yetu hii ya Tanzania.
Nitakuwa nikileta hapa mikoa miwili miwili inayoshabihiana katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kumuwezesha kijana au mtu yeyote kuona fursa zilizo katika mikoa husika na kuona ni namna gani anaweza kuwekeza katika eneo husika, kulingana na anatakavyoona kuwa inafaa

Nikianza na tabora ni mkoa unaozalisha Tumbaku na asali kwa wingi.

Singida wanalima sana sana kilimo cha alizeti.
Tuangalie mkoa gani una fursa zaidi.
Gharama za maisha na tamaduni za wakazi wa maeneo hayo mawili .

Tujadili bila kuweka mahaba na kutotoa lugha zisizofaa

NB: Nawa mkono, Epuka misongamano.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabla sijasoma uzi Singida kuna totozi weka mbali na watoto huko tabora ni jehanam ya Tanzania hakuna lolote na mkuu wa mkoa anatoka kwenye ile ze comedy original


Sent using IPhone X
 
Gluk sasa baada ya kusoma uzi singida ni baba lao nenda hata vijiji vya ndani ndani Iramba utakuta vijiji kabisa kuna nyumba nzuri zaidi ya keko magurumbasi,nyumba za tembe zinapotea kwa kasi ya 6G,na Sehemu yeyote ukiona vijijini wanaendelea kwa kasi basi ujue mkoa huo ni mzuri kupumzika na njaa za kijinga,Kwa kifupi tuilinganishe Singida na Dodoma wala sio singida na kitongoji cha Tabora


Sent using IPhone X
 
Hallow.
Leo napenda tujadili na kuangalia fursa zilizo katika mikoa hii miwili niliyoitaja.
Lengo ni kupanua wigo wa vijana wanaotafuta fursa katika nchi yetu hii ya Tanzania.
Nitakuwa nikileta hapa mikoa miwili miwili inayoshabihiana katika mambo kadhaa wa kadhaa ili kumuwezesha kijana au mtu yeyote kuona fursa zilizo katika mikoa husika na kuona ni namna gani anaweza kuwekeza katika eneo husika, kulingana na anatakavyoona kuwa inafaa

Nikianza na tabora ni mkoa unaozalisha Tumbaku na asali kwa wingi.

Singida wanalima sana sana kilimo cha alizeti.
Tuangalie mkoa gani una fursa zaidi.
Gharama za maisha na tamaduni za wakazi wa maeneo hayo mawili .

Tujadili bila kuweka mahaba na kutotoa lugha zisizofaa

NB: Nawa mkono, Epuka misongamano.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mmeamua kututukana watu wa Tabora heri mseme wazi wazi tu.

Kila siku mnaleta vinyuzi kuilinganisha Tabora na vijiji vya jangwani huu ni uungwana kweli ?

Tokeni wazi mtukane mkichoka tutarespond siyo haya matusi ya reja reja.

Aren't you tired of this charade ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wengi wa Singida vijijini huwa wanachangamkia fursa ya vibarua vya kulima Tumbaku Mkoani Tabora .

Wananchi wa Tabora wale wakulima wa Tumbaku wanawapenda sana vibarua toka Singida kuliko Kigoma ( kuliko zoeleka kutoa vibarua)

Sababu kubwa ya vijana wa Singida kuthaminika kama vibarua ni uwezo wao wa kufanya kazi na kula chakula kidogo tofauti na watu wa Kigoma wanafanya kazi hizohizo lkn mlo wao usipime.

Kama ilivyozoeleka mkulima wa tumbaku hujiandaa kwa kuweka gunia za unga wa dona na dagaa la kutosha , vijana watachapa kazi mpaka kipindi cha mauzo Kisha wanagawiwa chao kulingana na mapatano yao.

zamani yalikuwa yanatumika maharagwe kama mboga lkn ikaonekana ni hasara .mwendo ni dona kwa dagaa.

Vibarua toka Singida wananusa tu chakula na kazi inaonekana hakuna kusumbua boss, oooooh chakula kimeisha!!! Sasa ole wako uweke Waha.
 
Back
Top Bottom