Maua yanaenda kenya, wakenya wanauza na kupata faida maradufu huko ulaya. Hayo maua yanasaidia nini uchumi wa Tanzania, wakati Tanzania haijulikani kama ina export maua.Arusha wanauza maua nje ya nchi
Unajua maana ya ushamba wewe kilaza uliyekumbia shule, arusha ina nini cha ajabu adi niionee wivu tunawaambia fact mnaleta viroja badala ya hojawewe ndiyo popoma na ushamba wenu pamoja na wivu
Hivi TANGA inaizidi nini Iringa za ziada hasa, labda bahari!
Tafuta majibu hapa ikiwezekana panga upya safi yako 👇Habari za mchana huu wapendwa, hope mko wazima na wenye afya tele., wagonjwa na wafiwa poleni sana, Mungu awape wepesi!!
Mada husika👇🏾
Wengi wetu tunatambua majiji makubwa in Tanzania ni mawili tu (Only two cities) 👉🏽 (Dar es salaam and Mwanza)
Swali!👇🏾
Kati ya Miji hii ifuatayo, ni mji upi unafuata baada ya (Mwanza and Dar)??
1.Mbeya
2.Dodoma
3.Arusha
4.Tanga
5.ringa
Nikisema mji upi maana yake ni (Kila kitu kilichomo katika mji husika) kwanzia ukubwa wa mji, kibiashara n.k!
Hapo kwa Iringa japo haijapewa hadhi ya kuitwa jiji, but nimeonelea naye nimpachike hapo kutokana na mji ulivyo, na hata mnaoishi mkoa huo, na mliowahi kufika huko mnajua na mtatuambia katika huu mjadala namna mji ulivyoendelea.
(1.Dar es salaam 2.Mwanza) These are another level, acha tuwaweke pending.
Matusi, dharau, kejeli n.k Hapana, anae ona mada hii inamkwaza apishe wengine.
Karibuni sana!
Kitombile
Mapank n.k
Covax
Hivi mnalinganisha Arusha na hivyo vimiji vingine jamani? hebu acheni ujinga!
Mbeya imeanza kutuangusha,miaka miwili mfululizo wameshindwa kuongeza mapato kuvuka bil.15..
Huu ni uzembe maana tumeshapitwa na Tanga
Tanga ina bahari, mpaka na inchi jirani, mashamba makubwa ya mkonge, viwanda vya chuma, sabuni na kiwanda kikubwa cha saruji tanzania nzima,Hivi TANGA inaizidi nini Iringa za ziada hasa, labda bahari!
Ndio kusema Tz tunatengeneza trillion ngapi? Ya kweli haya?!Katika hyo miji uliyoitaja .ipange kwa kuangalia gdp (pato la mkoa ) ,ndio utajua nani mkubwa kuliko mwenzie ..tumia ramani hii itakusaidiaView attachment 2284304
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
MapatoHivi TANGA inaizidi nini Iringa za ziada hasa, labda bahari!
Wajenge bara bara ndani ndani huko wanazidiwa hata na Tabora kwa bara bara wao wakipaka rangi kidogo tu huko Isyesye na ile ya Isanga ishakua na mashimo kila siku wanajisifia mapato makubwa wakati Jiji ni vumbi la kutosha hakuna bara bara nzuri za mitaa...Acha uzushi ww em kaangalie list ya majiji yaliyoongoza mwaka jana kimapato kati ya top 3 huyo arusha jiji hayupo, na mbeya jiji ilikuwa namba moja, hapa naongelea jiji kama jiji sijaongelea mkoa mzima wa mbeya.
Bado hamuijui Tz zunguken jamn, na mkimaliza kuzunguka someni sana, hii nchi isingekuwa na siasa za kishenzi, mkoa wa mbeya ungefunika takataka zote hizo za akina mwanza na arusha.
Huu ndio ukwel mchungu
Iringa inazidiwa hata na morogoroHivi TANGA inaizidi nini Iringa za ziada hasa, labda bahari!