battery zinazokaa na charge zaidi

battery zinazokaa na charge zaidi

nawewe ni muhanga wa kuishiwa chaji nini?? hahahahaha

Mkuu yaani acha tu. Nimedownload na application za kucharge kwa solar kumbe uchafu mtupu. Mmh ila battery laki 8!! Ngoja tu nivumilie. Dawa ni kuwa na smart phone na nokia kitochi basi.
 
Mkuu yaani acha tu. Nimedownload na application za kucharge kwa solar kumbe uchafu mtupu. Mmh ila battery laki 8!! Ngoja tu nivumilie. Dawa ni kuwa na smart phone na nokia kitochi basi.

kuna application inaitwa DU BATTERY yenyewe iko vizuri katika kukutunzia charge
 
mi nataka battery zake tu zinazofit kwenye huawei ascend y300

battery Ya kitochi kwenye y300 haitafkisha hata nusu siku kinachofanya simu ikae na charge hasa nokia ndogo ni software yake ipo very optimized.
 
Chief! Naomba maelekezo jinsi ya kuagiza online!
 
Kwa akili kama hii utasubiri sana tu. Pole yako.

mwache asinzie wenzie wanakula bata na tecno P3 na iko poa tu,sasa mi nampa tecno za ukwee anajfanya mjuaji, anunue za mil 1 kama anaweza na batery ya lak 8 aefilic duka.
 
JF "a centre of stuffed laboratory n report" good....one day ,we will initiate "jf certified awards"
 
Mkuu yaani acha tu. Nimedownload na application za kucharge kwa solar kumbe uchafu mtupu. Mmh ila battery laki 8!! Ngoja tu nivumilie. Dawa ni kuwa na smart phone na nokia kitochi basi.
Kweli kabisa.Kwa utafiti mdogo niliofanya:98% ya watu wanaomiliki smartphone wana Nokia tochi
 
Tatizo cm zina uwezo mkubwa kuliko uwezo ww bettrey

1. software na operating system hazijawa optimized na hivyo kupelekea dunia kuongeza perfomance ya hardware ili software zirun vizuri

2. kwa sababu kila mtu anaconcetrate kwenye speed innovation inakua kubwa kwenye processor kuliko innovation ya battery na ndio majanga yanapoanzia
 
mwache asinzie wenzie wanakula bata na tecno P3 na iko poa tu,sasa mi nampa tecno za ukwee anajfanya mjuaji, anunue za mil 1 kama anaweza na batery ya lak 8 aefilic duka.

big up mkuu nami natesa na p3. hakuna shida ya charge
 
Back
Top Bottom