Mahundi Jr
Member
- May 25, 2015
- 33
- 6
Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
mkuu,bata BIKINI?ukiyapata na mimi nishtue,I CAN`T WAIT TO SEE THEM!Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
Samahani, hivi bata bukini ndo bata gani au ndo bata mzinga?mkuu,bata BIKINI?ukiyapata na mimi nishtue,I CAN`T WAIT TO SEE THEM!
mkuu ninao na mayai ipo ila siwezi kuuzia mayai maana yanahitaji uangalizi wa juu ili yaanguliwemkuu,bata BIKINI?ukiyapata na mimi nishtue,I CAN`T WAIT TO SEE THEM!
Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
Mkuu yapo na kuna vifaranga.probability ya mayai kuangulia ni 20;80Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
Nipo DSM nahitaji mayai ya bata bikini yanapatikana wap?
kweli una mayai ya bata BIKINI mkuuKa
Mkuu yapo na kuna vifaranga.probability ya mayai kuangulia ni 20;80
Mkuu wanapatikana na mayai pia ila mayai take on your own risk.kweli una mayai ya bata BIKINI mkuu
ulishapata?Naomba msada wa kupata bata bukini tetea. Niliyekuwa nae alianza kutaga mayai lakn kabla ya kuanza kuatamia niliamka amekufa. Au km kuna mtu anauza naomba anicheki kwa namba 0654425007 ili tufanye biashara.
Mkuu kwani wewe unayo???. kama unayosema tufanye bisharaulishapata?
Mkuu kwa kila kifaranga bei ikojeKa
Mkuu yapo na kuna vifaranga.probability ya mayai kuangulia ni 20;80
mkuuu elfu sabini miezi 4Mkuu kwa kila kifaranga bei ikoje
Nakupa 40 mkuu.mkuuu elfu sabini miezi 4
Asante mkuu itakuwa ngumu kama uko dar nenda pale makumbusho au oilcom ya mbezi beach wanauza mkuu.Nachofanya mimi sichangani uzao mmoja.Nakupa 40 mkuu.
kuna pair tu, mayai hayauzwi.Mkuu kwani wewe unayo???. kama unayosema tufanye bishara