Maranzana
Senior Member
- Sep 1, 2010
- 192
- 97
Kutosafiri haiwezekani ni lazima tusafiri tu! How sasa? Zianzishwe huduma za M-WATU/AIRTEL WATU? Is it POSSIBLE?
una akili sana wewe
Kutosafiri haiwezekani ni lazima tusafiri tu! How sasa? Zianzishwe huduma za M-WATU/AIRTEL WATU? Is it POSSIBLE?
Kumbe nawe umeiona hiyo kitu, nilipoona picha nikaona kitu hicho, nikajiuliza maswali kadhaa halafu nikakosa majibu. Hebu wajuzi wa mambo watupe majibu kama yapo, hicho ni kitu gani, ni moto gani huo wapendwa?
Njoo geto ukione live....
Kutosafiri haiwezekani ni lazima tusafiri tu! How sasa? Zianzishwe huduma za M-WATU/AIRTEL WATU? Is it POSSIBLE?
Tumeshazizoea ajali za magari....sasa tunataka kusikia ajali za ndege tu.....
Tumeshazizoea ajali za magari....sasa tunataka kusikia ajali za ndege tu.....
Nilianzisha thread hapa kuhusu hizo picha naona MODDS wameifuta. Hapo ukiangalia kwa kutulia hiyo picha huyo ni mnyama SIMBA tena ametanua mdomo kabisa.
Hivi punde, kumetokea ajali ya Basi la Princes munaa lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma.
Halijaua lakini kuna Majeruhi.
![]()
![]()
Good decomm,wimbi la ajali sasa naona limekuwa sio geni machoni kwetu. Najitahidi sana kuripoti habari za ajali lakini naona kuna watu hawapendi mpaka wameanza kuniita majina ya ajabu ajabu kitu ambacho sipendi.
Nitaacha kuripoti matukio haya.
Hizo nyingine zina nafuu ila TIGOWATU ndo siwezi kujiunga nayoKutosafiri haiwezekani ni lazima tusafiri tu! How sasa? Zianzishwe huduma za M-WATU/AIRTEL WATU? Is it POSSIBLE?
Hivi wangwana!, kunaweza kukawa na mahusiano mahusiano yoyote baina uchaguzi mkuu,upingaji wa mauaji ya albino na hizi ajali?
Ee mungu tulinde kutokana na Shari za mashetani,na Shari za watu wenye mipango michafu.
Aamin!
what the hell is going on ? ?????????????
Kuna kitu si kawaida.
Ukiangalia hii picha kwa makini kweli hali si shwari inaonekana nyuma ya pazia nako kuna kitu.....!!!
View attachment 243128
The hell is blood business
Itakua chanzo kime shift kutoka..... Sasa imehamia kwingine