Basi la Princes Munaa lapata ajali Dodoma

Basi la Princes Munaa lapata ajali Dodoma

Attachments

  • 1428939072626.jpg
    1428939072626.jpg
    108.8 KB · Views: 577
Hivi punde, kumetokea ajali ya Basi la Princes munaa lililokuwa linatoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, katika kijiji cha Mtanana Kibaigwa Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma.

Halijaua lakini kuna Majeruhi.
attachment.php

attachment.php



barabara mbovu,trafiki wasumbufu,magari mabovu
ni kusali na kuomba tu
 
Good decomm,wimbi la ajali sasa naona limekuwa sio geni machoni kwetu. Najitahidi sana kuripoti habari za ajali lakini naona kuna watu hawapendi mpaka wameanza kuniita majina ya ajabu ajabu kitu ambacho sipendi.

Nitaacha kuripoti matukio haya.
Ukiona mtu hapendi unavyo ripoti AJALI basi wewe jua kuwa huyo ni MSHIRIKA NAMBA 1 WA KUSABABISHA HIZO AJALI. Nchi hii imejaa washirikina wengi sana.
 
Ajali za mabasi Tanzania ni kama habari za katiba mpya (tushazoea).

Kila siku tunawazika wapendwa wetu kwa uzembe wa madereva na mamlaka husika...kila siku mayatima wanaongezeka kutokana ongezeko la ajali hizi kila kukicha.....tumekuwa tukipiga makelele na mamlaka husika kulitafutia ufumbuzi wa kudumu suala hili..lakini mamlaka husika zimeweka pamba masikioni....
 
Back
Top Bottom