Basi la Princes Munaa lapata ajali Dodoma

Basi la Princes Munaa lapata ajali Dodoma

Fanya kazi yako mkuu, ANGALIA/JALI MASLAHI YAKO! Siku zote PENYE RIZIKI,,,! Hakuna kazi hususan kazi ya WITO kama yako isiyokuwa na CHANGAMOTO! Wachungaji wenyewe kilasiku wanapakaziwa kutembea na waumini wao ambao ni wake za watu! Sembuse ww mkuu! PIGA KAZI naamin THAWABU zako zipo kama sio humuhumu JF basi KWENYE BASI UTALOPATA NALO AJALI! Watakufa wote ISIPOKUWA WEWE utupe Taarifa na Picha! SALUTE SANA MKUU!

Kinachotushangaza ni kwamba huyu mkuu amespecialize kwenye habari za ajali Tz nzima? yaani sidhani kama watu wanampa majina kwa dhumuni baya bali wanashangazwa na hii specialization. Huyu mkuu anatoa habari na kukoleza na picha kabisa kwa coverage ya 80+ ya area ya Tz
 
We naye,!! kwani wapi amesema kuwa kila ajali lazima iue?? asingesema kuwa hakuna aliyekufa watu mngeanza kumuuliza vifo ni vingapi? hii habari imekamilika kabisa na inaonekana ana uhakika na alichoandika, sio wale mtu anapata habari nusu nusu tu, anakimbia ku post, ili awe wa kwanza, naye ana kwambia mwenye habari kamili atueleze!! EBOOO!!!! We ndio mleta habari tena unasema mwenye habari kamili atueleze?!! Labda uelewa wako ndio shida.

Hii habari kiukweli haijakamilika! Nini chanzo cha ajali? Abiria walikuwa wangapi-lakn hasa walioumia wangapi? Majeruhi wamepelekwa hospitali gani? nk mkuu! Uandishi wa habari si lazma upite DSJ/TIJ,jaribu kujiuliza tu mwenyewe wananchi watataka kujua kitu gani zaidi juu ya taarifa hii! Watu wanakwenda DSJ kufundishwa mambo ya ITIFAKI kwenye habar yako!
 
Ati nilisikia maaskari usalama barabarani hawajihusishi tena na ratiba za mabasi pia tochi hakunaga thiku hizi so ndio hivyotena,
 
Chanzo kikuu cha ajari za sasa niongezeko la magari wakati barabara ni zile zile,
 
Hii pia imetokea leo maene ya soni kuelekra lushuto. Nusura basi la kampuni ya burudani litumbukizwe kolongoni na lorry la mafuta ambalo lilipoteza breki.
 

Attachments

  • 1428936732527.jpg
    1428936732527.jpg
    70.3 KB · Views: 770
Imetokea jana...

Hii pia imetokea leo maene ya soni kuelekra lushuto. Nusura basi la kampuni ya burudani litumbukizwe kolongoni na lorry la mafuta ambalo lilipoteza breki.
 
Sijui tusemeje?
Je, ni vipuri feki?
Ama ni mwendokasi wa madereva wetu?
Au ni leseni za kuletewa nyumbani na shem?
Au ni miundo mbinu yetu mibovu?


Lakini KWA NINI YANATOKEA SASA NA KWA MFULULIZO???

@@@@
 
sababu magari ya kichina mepesi sana hayawezi kuhimili upepo na mvua kwenye rami
 
Back
Top Bottom