Basi la Mwendo Kasi lapata ajali barabara ya Morogoro

Basi la Mwendo Kasi lapata ajali barabara ya Morogoro

Dah...kuna haja kubwa ya kuweka taa za kuongozea magari kwenye makutano ya njia za mwendo kasi baada ya kuvuka Bibi Titi. Cha ajabu kwenye makutano yote ambayo unaweza kuona kwa uwazi wameweka taa....Ila huku uswazi kwenye vichochoro hawajaweka...na ukitaka kuvuka inabidi umuombe mtombea kwa miguu akutizamie....kwani taa bei gani kwani?? Tutegemee ajali nyingi za kutosha mvua zikichanganya[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahahahaahahahaha
 
inaonekana mabasi ya dar ni malaini sana, ni tofauti na ya mikoan, apo imegongana na prado je ingekuwa na 109 si ingeisha yote. poleni
Hhahaahaaaa dah nimecheka sana aiseee...Mikoani nikweli kuna mabasi magumu aisee..
 
Back
Top Bottom