mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Kwa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba kuna taarifa kuwa basi la Mwanza Coach limetumbukia katika mto Simiyu mchana baada ya mvua ikitokea Musoma kwenda Mwanza.
Mwenye taarifa hizi atujuze tafadhali.
Mwenye taarifa hizi atujuze tafadhali.