Basi la MWANZA COACH latumbukia mtoni

Basi la MWANZA COACH latumbukia mtoni

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Kwa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba kuna taarifa kuwa basi la Mwanza Coach limetumbukia katika mto Simiyu mchana baada ya mvua ikitokea Musoma kwenda Mwanza.

Mwenye taarifa hizi atujuze tafadhali.
 
Hili ndio lile lililoua watu zaidi ya 60 katika ajali iliyohusisha na basi jingine la J4, na likafutiwa liseni au?
 
Nimeliona pale ila nimeshindwa kupiga picha kwa kuwa tulikuwa speed. Hivi hakuna watu walioumia?
 
Kwa habari ambazo hazijathibitishwa ni kwamba kuna taarifa kuwa basi la Mwanza Coach limetumbukia katika mto Simiyu mchana baada ya mvua ikitokea Musoma kwenda Mwanza.

Mwenye taarifa hizi atujuze tafadhali.

Siyo mto Simiyu; ila ni mbele sana ya mto Simiyu ila kuna daraja na korongo; kweli gari nimeiona ipo kwenye korongo lenye maji ilikuwa imezama level ya seat. Sikuweza kupiga picha ni sehemu yenye kona magari yanaporomoka hovyo
 
hivi hii kampuni ilisharuhusiwa kurudi barabarani?
 
Taarifa za kufunguliwa leseni yake mbona hazijawekwa wazi ila nashangaa haya mabasi kuanza safari tena. Hii nchi kazi kweli kweli. Poleni mliokumbwa na masaibu.
 
Siyo mto Simiyu; ila ni mbele sana ya mto Simiyu ila kuna daraja na korongo; kweli gari nimeiona ipo kwenye korongo lenye maji ilikuwa imezama level ya seat. Sikuweza kupiga picha ni sehemu yenye kona magari yanaporomoka hovyo

Hukuweza kupata taarifa zozote kuhusiana na ajali hiyo mfano majeruhi, Vifo n.k?
 
Hayo mabasi yatatumaliza watanzania. Yafungiwe tena. Kwani aliyeyaruhusu ni nani? Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
Ni kweli mi picha ninazo kuna jamaa kantumia ila nimeshindwa jinsi ya ku attach
 
Basi latumbukia mtoni
 

Attachments

  • 1417548353805.jpg
    1417548353805.jpg
    109 KB · Views: 3,222
Ni kuomba Mungu kuuvuka mwaka salama...
 
Back
Top Bottom