Basi la Mtei lachomwa moto


Abiria hawajajeruhiwa?
 
Haya mabasi ya mtei si yanamilikiwa na mzee mtea ambaye anamiliki pia chama cha chadema? Au....

Ndiyo, ndo huyo pia anakimiliki chama cha demokrasia na maendeleo (chadema)
 
Acha kujifanya unajua wewe sio kila kitu lazima ujifanye na wewe upo mtei ni ukoo mkubwa sana na umegawanyika edwin mtei wa cdm hahusiki na hii kampuni wala hana shea.

Ndo huyo bwana unatoka povu la nini! Ndo huyo alokuwa gavana wa bank kuu wa kwanza tz/ cjui waziri wa mshiko tz
 
Ndo huyo bwana unatoka povu la nini! Ndo huyo alokuwa gavana wa bank kuu wa kwanza tz/ cjui waziri wa mshiko tz


Mwenye mabasi keshatangulia mbele ya haki yanasimamiwa na vijana wake na mja alifariki mwaka jana.
 
Mwenye mabasi keshatangulia mbele ya haki yanasimamiwa na vijana wake na mja alifariki mwaka jana.

Mungu akusamehe maana mwenye mabasi yuko hai; anashirikiana na watoto wake anaishi kijiji cha Kiranyi, barabara ya silent inn, juu kidogo ya tank la maji.
 
Polen wafiwa,polen abilia mlioalibikiwa na mali zenu!!nafikil ingekuwa busara zaidi kama wangemwazibu dereva.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

duu hii kali sasa gari linachomwa dreva anaachwa duu..

...ndio ubaya wa mob justice.....juzi juzi dar kauliwa mtu......haijulikani kama ni kichaa au mchawi....the question is ....kwanini mtu asiye na kosa auliwe au aharibiwe mali yake kwa sababu ya watu wengine kujichukulia sheria mkononi?.........na hata kama ana kosa basi achukuliwe hatua za kisheria.....kwani tumejiwekea sisi wenyewe sheria hizo ili zitulinde na tuwe wastaarabu kuzifuata.......

Poleni wafiwa na poleni abiria mliopoteza mali zenu.........

Ikumbukwe pia kuwa sheria barabarani zina-apply kwa wote......waenda kwa miguu, waendesha pikipiki na magari.......tujifunze sheria za barabarani tunamopita kila siku ili tuzitumie barabara zetu salama.......kitendo kilichotokea kule singida kinaondoa dhamira ya werevu wa kujua/kufuata sheria....ili iwe fundisho kwetu sote....na ili jambo lile lisitokee tena..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…