Wadau nimepita hapa Singida nikitokea Arusha nimekutana na basi la Abiria mali ya kampuni ya Mtei. Chanzo ni kwamba gari hilo limemgonga bodaboda aliyekuwa amebeba watoto wawili waliofikwa na mauti.Hakika inasikitisha sana kwa upande wa wafiwa na kwa kuchomwa basi hili kwani mabegi na mali za abiria zilizokuwamo ndani ya gari vyote vimeteketezwa.