Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
Mbona hukupiga picha sasa....... au ulikuwa spidi?
Anatumia Nokia tochi
Mbona hukupiga picha sasa....... au ulikuwa spidi?
ha ha ha as Idimi says natumia outdated NOKIA
Basi la Moro best likitokea Dodoma kwenda Dar limepata ajali mbaya sana muda huu eneo la Kibaigwa, ni mwendo kasi na imekoswa koswa na maroli na basi kabla ya kutumbukia kwenye mtaro, maiti wawili tayari wametolewa, majeruhi ni wengi mno na huenda idadi ya waliokufa ikawa kubwa zaidi, tuko katika jitihada za kunasua watu walionasa.
Picha baadae.
Mabasi sio tatizo. Tatizo ni watu na system. Polisi wanauza leseni class c kama njugu. Hawafikirii maafa yanayoweza tokea baadaye. Ni lazima kuwepo na control ya utoaji leseni za magari kama mabasi na malori. Tatizo lingine ni barabara. Bado highway zetu ni njia mbili kama ilivyokuwa kabla ya uhuru. Tunaambiwa pesa hakuna lakini za kuendesha bunge la katiba Feki zipo. Elimu duni nayo ni tatizo. Madereva wengine hata hizo Alama zA barabarani hawawezi soma. Mwisho njaa ya polisi wetu ni tatizo kubwa kuliko Ebola. KwA hali ilivyo sasa hivi hakuna aliye salama. Upande basi, utembee kwA miguu, uendeshe gari binafsi hiyo haitazuia kupata Ajali hapa bongo. Mungu tusaidie!Moro best again! Na sababu ni ile ile mwendo kasi. Haya mabasi sasa yatazamwe kwa upana.
Poleni sana wafiwa na majeruhi
Duh... tupe source ya habari yakoTuyasusie kama Malaysian airlines ilivyosusiwa. juzi ndege ya watu mia tatu ilikua na watu wawili.
Duh... umenichekesha.Mabasi sio tatizo. Tatizo ni watu na system. Polisi wanauza leseni class c kama njugu. Hawafikirii maafa yanayoweza tokea baadaye. Ni lazima kuwepo na control ya utoaji leseni za magari kama mabasi na malori. Tatizo lingine ni barabara. Bado highway zetu ni njia mbili kama ilivyokuwa kabla ya uhuru. Tunaambiwa pesa hakuna lakini za kuendesha bunge la katiba Feki zipo. Elimu duni nayo ni tatizo. Madereva wengine hata hizo Alama zA barabarani hawawezi soma. Mwisho njaa ya polisi wetu ni tatizo kubwa kuliko Ebola. KwA hali ilivyo sasa hivi hakuna aliye salama. Upande basi, utembee kwA miguu, uendeshe gari binafsi hiyo haitazuia kupata Ajali hapa bongo. Mungu tusaidie!
Mdau hii ajali ilitokea maeneo ya Kiegea,ukishapita Gairo kama unakuja Dumila,binafsi niliikuta pale,na baadhi ya maejruh tulirudi nao mpaka Njia Panda ya Kongwa,wenyewe walisema hakufa mtu, simu yangu ilipiga picha hafifu nikaona hakuna haja ya kuziweka hapaBasi la Moro best likitokea Dodoma kwenda Dar limepata ajali mbaya sana muda huu eneo la Kibaigwa, ni mwendo kasi na imekoswa koswa na maroli na basi kabla ya kutumbukia kwenye mtaro, maiti wawili tayari wametolewa, majeruhi ni wengi mno na huenda idadi ya waliokufa ikawa kubwa zaidi, tuko katika jitihada za kunasua watu walionasa.
Picha baadae.