Basi la Gameti lapata ajali

Basi la Gameti lapata ajali

nachid

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2011
Posts
942
Reaction score
209
Lilikua linatoka mikoa ya kusini kuelekea Dar, nimelikuta limedondoka ukipita utete. Sikusimama kwa mwanaJF anaetoka Dar au Lindi anaweza kutupatia madhara yake.

11150309_1075107775836564_5531954173236461577_n.jpg
 
Kama ni kweli; mi nasisitiza tena kuna kitu hakiko sawa kwenye usalama barabarani!
 
Lilikua linatoka mikoa ya kusini kuelekea Dar, nimelikuta limedondoka ukipita utete. Sikusimama kwa mwanaJF anaetoka Dar au Lindi anaweza kutupatia madhara yake
Wewe hii njia unaijua kweli? Ukitoka kusini unapitaje tena utete!
 
niamini ukitoka Lindi unaiacha Utete kushoto hiyo sehemu inaitwa Bungu

mimi nilikuwa nawasiwasi na pale MADARAJA MANNE KUNA LORI LIMEHARIBIKA LINA MIEZI MIWILI HALIJAONDOLEWA. LIMEHARIBIKIA MLIMANI KWENYE KONA KALI. AYA MTUJULISHE
 
Sasa hii hali imezidi...siku hizi hatuulizani habari nyingine zaidi ya leo kuna ajali gani
 
Haya tuinue mikono juu kumueleka Mola wetu na kumuomba atunusuru na haya maajali ya kila siku.
 
Mleta mada jamani...kwani umepita na ndege? Manake wewe mwenyewe ungeweza kutuletea habari hii kwa kina...
 
Back
Top Bottom