mapengo junior
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,135
- 276
Mwenye taarifa sahihi please atupatie pressure zinapanda
Wewe hii njia unaijua kweli? Ukitoka kusini unapitaje tena utete!
Tufanye udadisi kidogo huenda tutapata chanzo chz hizi ajali:-
1.je ni mabasi aina gani (sacnia, youtong) yanaanguka sana?
2.je ni mabasi ya kampuni gani yanayoongoza kupata ajali?
3.je ni njia ya kuelekea mkoa gani ambayo ajali nyingi hutokea?
4.....................................
Hizi ajali siku hizi zilivyozidi nina wasiwasi ni kafara za uchaguzi
Mh! sisafiri tena mwaka huu nisijeishia maporini
Tufanye udadisi kidogo huenda tutapata chanzo chz hizi ajali:-
1.je ni mabasi aina gani (sacnia, youtong) yanaanguka sana?
2.je ni mabasi ya kampuni gani yanayoongoza kupata ajali?
3.je ni njia ya kuelekea mkoa gani ambayo ajali nyingi hutokea?
4.....................................