Basi la Gameti lapata ajali

Basi la Gameti lapata ajali

Ajali ya basi katikati ya maeneo ya mtawanya

Mtembea kwa miguu agongwa hadi kufa basi nalo lapinduka na abiria wengi wameumia
 

Attachments

  • 1429007383550.jpg
    1429007383550.jpg
    178.1 KB · Views: 679
dah!king of the road yupO chini keo kwa bararbara ya kusn jamaa anakimbiza xana. pole yao wote wliopatwa na ajali hyo
 
Nimekuta ujumbe kwenye group ya watsapp ikisema kuwa leo imetokea ajali nyingine ya basi la Gamet limepinduka, lilikuwa likitoka kusini kuja dar

Sijajua kuhusu majeruhi wala vifo, mwenye taarifa zaidi atatujuza
 

Attachments

  • 1429010155650.jpg
    1429010155650.jpg
    143 KB · Views: 659
Huu mwezi ni wa kipekee sana kwa ajali. Ila pia utandawazi huu unasaidia sana kuzijua hizi ajali. Siku za nyuma ajali zilikuwepo ila hazikuwa zinatangazwa na kujulikana kama cku zetu hizi ambazo kila kitu ni kiganjani
 
Mh! sisafiri tena mwaka huu nisijeishia maporini
 
Tufanye udadisi kidogo huenda tutapata chanzo chz hizi ajali:-
1.je ni mabasi aina gani (sacnia, youtong) yanaanguka sana?
2.je ni mabasi ya kampuni gani yanayoongoza kupata ajali?
3.je ni njia ya kuelekea mkoa gani ambayo ajali nyingi hutokea?
4.....................................
 
wazee wa uwaza uchawi!

Hivi uzunguni hawafanyagi chaguzi kuu?

Huko kwao nako ajali hutokea nyakati za general election/kueleka general election?

Waafrika bwana. Tukifikiria saaana, critical thinking yetu ni uchawi tu.!
 
Tufanye udadisi kidogo huenda tutapata chanzo chz hizi ajali:-
1.je ni mabasi aina gani (sacnia, youtong) yanaanguka sana?
2.je ni mabasi ya kampuni gani yanayoongoza kupata ajali?
3.je ni njia ya kuelekea mkoa gani ambayo ajali nyingi hutokea?
4.....................................

Point!!!!
 
Tufanye udadisi kidogo huenda tutapata chanzo chz hizi ajali:-
1.je ni mabasi aina gani (sacnia, youtong) yanaanguka sana?
2.je ni mabasi ya kampuni gani yanayoongoza kupata ajali?
3.je ni njia ya kuelekea mkoa gani ambayo ajali nyingi hutokea?
4.....................................

Mimi Najibu Swari La Kwanza
1. Youtong
 
Wananchi waweke mgomo wa kupanda chochote na kutembea kwa siku 2 kupinga ajari hiz
 
Hizi ajali kama zimejiunga xtreme!!! ehee Mungu tuepushie balaa hili mana kila kukicha tunapoteza ndugu zetu
 
Back
Top Bottom