Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Sgr express hapa Kazi tuu,masaa 6 uko mwanza
Zipo Dar lux & Tanzanite. Leo ipo inatoka Mwanza to Dar, DRR 754Hamna Dar lux inayokuja Mwanza ss hivi
Alitoa hela yake mfukoni kuinunua mpaka iwe yake?Dar lux ni nzuri ila unaweza ujibane uje na "the wings of kilimanjaro ya jpm" fasta unadondoka rock city.
Jamaa alishtuka mapema sana now yupo kwenye maloriDar lux zimeshakufa sio gari zile.
Panda Darlux kwa hasara yako mwenyewe
Kwani walokuwepo kabla yake hiyo hela hawakuoina?Alitoa hela yake mfukoni kuinunua mpaka iwe yake?
It has never been the same ever since I realized that even pastors sit their exams with invigilators monitoring them.Copy and paste
Ili nawewe eti umeongea kiinglish
Ally’s mwanza saa 00:03 sasa sijui limewahi au limechelewaKwa kwenda Mwanza gari zinazowahi hazizidi 3 au 4.
1. Allys....hawa ni uhakika zaidi.
2. Dar Lux/Tanzanite hawa nao wanawahi
3. Zuberi wanajitahidi kiasi chake.
Chagua Allys hutojutia...wanajua kutunza muda.
Kama ulisafiri leo...gari karibu zote zilichelewa sana. Nadhani kulikuwa na shida njiani.Ally’s mwanza saa 00:03 sasa sijui limewahi au limechelewa