Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Basi gani la mkoani ulipanda ukajutia?

Kuna basi lakwenda Kilindi/Songe mkoani Tanga linaitwa KIPACHA. Wamekaa waswahili yani unakatiwa tiketi ya kwenda Songe ila ukifika Handeni mjini unafaulishwa kwenye gari yao nyingine.
Ukikosa siti utasimama kuanzia Handeni mpaka Songe.
Kampuni ya hovyo sana sijawahi ona
 
Arizona coach hili bus la kigoma nilipanda wakat naenda tabora goma linakunguni wakutosha mende mchwa na siafu halafu nilisikia abiria seat za nyuma wakilalamika wenzao wameliwa na chatu konda wala hajali wala nini
 
Back
Top Bottom