Basi gani la Dar-Mwanza naweza kuchaji simu nikiwa safarini?

Hivi ni kwa nini Mimi nikichaji simu kwenye mabasi simu huwa inatumia hata saa zima kuingiza asilimia 2 au 3 tu wakati chaja yangu ni fast? Kuhusu mabasi, Dar lux na Kisesa ni uhakika, mengine nimeshasahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar lux ni kweli in a charging system tatizo ni kupata tiketi, booking angalau wiki moja kabla. Mwendo wao ni mzuri na wahudumu wana ukarimu
 
Wakuu heshima kwenu.
Kwa mabasi ya Dar-Mwanza ni basi lipi lina huduma ya kuchaji simu ndani ya basi?

Wakuu sorry nilidhamiria kuandika Mbeya-Mwanza na si Dar-Mwanza.

Ni Basi la Bombardier Dreamliner Coach Mkuu.
 
Kama ni Mwanza-Mbeya nadhani supersami watakua na USB.. Shida ni kwamba hiyo njia haina bus la luxury.. Though hata Isamilo watakua na USB I think.
 
Wakuu heshima kwenu.
Kwa mabasi ya Dar-Mwanza ni basi lipi lina huduma ya kuchaji simu ndani ya basi?

Wakuu sorry nilidhamiria kuandika Mbeya-Mwanza na si Dar-Mwanza.
Kwanini mnatumia vimeo!yaani safari ya siku moja unachaji kutwa Mara tatu kama dozi

Sent by Diaspora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…