severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,397
Kweli mkuu?
Safi ndo maana wamewawekea na sehemu za kuchaji simu hata mkitumia wiki njiani hakuna kisingizio kwamba simu iliisha chaji.Dar lux ipo usb charger tatizo mwendo wa kinyonga
Wakuu heshima kwenu.
Kwa mabasi ya Dar-Mwanza ni basi lipi lina huduma ya kuchaji simu ndani ya basi?
Wakuu sorry nilidhamiria kuandika Mbeya-Mwanza na si Dar-Mwanza.
Kuna mabasi yanaitwa Falcon, yenyewe wameyafanyiwa wiring ya umeme kama wa majumbani na kuweka sicket za kawaida kama zile za majumbani.
Kwanini mnatumia vimeo!yaani safari ya siku moja unachaji kutwa Mara tatu kama doziWakuu heshima kwenu.
Kwa mabasi ya Dar-Mwanza ni basi lipi lina huduma ya kuchaji simu ndani ya basi?
Wakuu sorry nilidhamiria kuandika Mbeya-Mwanza na si Dar-Mwanza.
Umenikumbusha mbali sana mkuu!Dar to Lilongwe!halafu mvua ikinyesha inabidi uwe na mwamvuliKuna mabasi yanaitwa Falcon, yenyewe wameyafanyiwa wiring ya umeme kama wa majumbani na kuweka sicket za kawaida kama zile za majumbani.
Kuna jamaa alisema Bombardier ina mwendo wa kinyonga akaambiwa apande ndege ya jeshiDar lux ipo usb charger tatizo mwendo wa kinyonga
Umesafiri mwisho lini boss?