severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,434
- 2,394
Hivi ni kwa nini Mimi nikichaji simu kwenye mabasi simu huwa inatumia hata saa zima kuingiza asilimia 2 au 3 tu wakati chaja yangu ni fast? Kuhusu mabasi, Dar lux na Kisesa ni uhakika, mengine nimeshasahau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app