Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,633
- 164,754
Hao niliowataja walilindwa sana katika nyakazi zile kama ambavyo wewe leo hii unalindwa ila sasa ndio hao wamegeukwa na wamekuwa ni kama mbuzi wa kafara kwasababu kuna walioshirikiananao kufanikisha waliyoyafanya ila mpaka sasa wenzao hao hawajaguswa na wanaweza wasiguswe kabisa na hii ndio maana halisi ya kafara.
Kama ambavyo mabwana hawa ambao waliokuwa untouchable enzi zile lakini leo hii wanashughulikiwa, vivyo hivyo wewe ulie untouchable leo hii,kesho nawe utashughulikiwa kama mabwana hawa.
Kama ambavyo Mkulu wa enzi zile leo hii anaangalia kupitia luninga yake jinsi watu wake wanavyoshughulikiwa, vivyo hivyo Mkulu wa leo nae kesho atakuwa anaangalia kwenye luninga jinsi wewe unavyoshughulkiwa na hata akiulizwa nini maoni yake juu ya wewe kushughulikiwa, atatoa pongezi kwa Mkulu wa wakati huo na ataongeza watu wamuache afanye kazi na yeye atasema sasa aachwe apumzike.
Tambua inawezkana wako wengi sana leo hii hawakupendi kutokana na matendo yako ila kwa sasa hawawezi kuonyesha chuki yao wazi wazi kwa hofu ya kumuudhi mtu fulani na kupoteza vibarua vyao hivyo wanacheka na wewe juu juu tu ila miyoni mwao hawakupendi kabisaaa.
Nimemaliza but time will tell.
Kama ambavyo mabwana hawa ambao waliokuwa untouchable enzi zile lakini leo hii wanashughulikiwa, vivyo hivyo wewe ulie untouchable leo hii,kesho nawe utashughulikiwa kama mabwana hawa.
Kama ambavyo Mkulu wa enzi zile leo hii anaangalia kupitia luninga yake jinsi watu wake wanavyoshughulikiwa, vivyo hivyo Mkulu wa leo nae kesho atakuwa anaangalia kwenye luninga jinsi wewe unavyoshughulkiwa na hata akiulizwa nini maoni yake juu ya wewe kushughulikiwa, atatoa pongezi kwa Mkulu wa wakati huo na ataongeza watu wamuache afanye kazi na yeye atasema sasa aachwe apumzike.
Tambua inawezkana wako wengi sana leo hii hawakupendi kutokana na matendo yako ila kwa sasa hawawezi kuonyesha chuki yao wazi wazi kwa hofu ya kumuudhi mtu fulani na kupoteza vibarua vyao hivyo wanacheka na wewe juu juu tu ila miyoni mwao hawakupendi kabisaaa.
Nimemaliza but time will tell.