Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Wa milele ni Mungu tu.
Ukiwa RAIS unasahau hayo
Wa milele ni Mungu tu.
A coin has two sides na mda mwingine dua la kuku halimpati mwewe
Sasa unachotaka nini? Sheria isifuatwe?Hao niliowataja walilindwa sana katika nyakazi zile kama ambavyo wewe leo hii unalindwa ila sasa ndio hao wamegeukwa na wamekuwa ni kama mbuzi wa kafara kwasababu kuna walioshirikiananao kufanikisha waliyoyafanya ila mpaka sasa wenzao hao hawajaguswa na wanaweza wasiguswe kabisa na hii ndio maana halisi ya kafara.
Kama ambavyo mabwana hawa ambao waliokuwa untouchable enzi zile lakini leo hii wanashughulikiwa, vivyo hivyo wewe ulie untouchable leo hii,kesho nawe utashughulikiwa kama mabwana hawa.
Kama ambavyo Mkulu wa enzi zile leo hii anaangalia kupitia luninga yake jinsi watu wake wanavyoshughulikiwa, vivyo hivyo Mkulu wa leo nae kesho atakuwa anaangalia kwenye luninga jinsi wewe unavyoshughulkiwa na hata akiulizwa nini maoni yake juu ya wewe kushughulikiwa, atatoa pongezi kwa Mkulu wa wakati huo na ataongeza watu wamuache afanye kazi na yeye atasema sasa aachwe apumzike.
Tambua inawezkana wako wengi sana leo hii hawakupendi kutokana na matendo yako ila kwa sasa hawawezi kuonyesha chuki yao wazi wazi kwa hofu ya kumuudhi mtu fulani na kupoteza vibarua vyao hivyo wanacheka na wewe juu juu tu ila miyoni mwao hawakupendi kabisaaa.
Nimemaliza but time will tell.
Unahangaika mno. Pole. Walilindwa na Serikali?Hao niliowataja walilindwa sana katika nyakazi zile kama ambavyo wewe leo hii unalindwa ila sasa ndio hao wamegeukwa na wamekuwa ni kama mbuzi wa kafara kwasababu kuna walioshirikiananao kufanikisha waliyoyafanya ila mpaka sasa wenzao hao hawajaguswa na wanaweza wasiguswe kabisa na hii ndio maana halisi ya kafara.
Kama ambavyo mabwana hawa ambao waliokuwa untouchable enzi zile lakini leo hii wanashughulikiwa, vivyo hivyo wewe ulie untouchable leo hii,kesho nawe utashughulikiwa kama mabwana hawa.
Kama ambavyo Mkulu wa enzi zile leo hii anaangalia kupitia luninga yake jinsi watu wake wanavyoshughulikiwa, vivyo hivyo Mkulu wa leo nae kesho atakuwa anaangalia kwenye luninga jinsi wewe unavyoshughulkiwa na hata akiulizwa nini maoni yake juu ya wewe kushughulikiwa, atatoa pongezi kwa Mkulu wa wakati huo na ataongeza watu wamuache afanye kazi na yeye atasema sasa aachwe apumzike.
Tambua inawezkana wako wengi sana leo hii hawakupendi kutokana na matendo yako ila kwa sasa hawawezi kuonyesha chuki yao wazi wazi kwa hofu ya kumuudhi mtu fulani na kupoteza vibarua vyao hivyo wanacheka na wewe juu juu tu ila miyoni mwao hawakupendi kabisaaa.
Nimemaliza but time will tell.
wewe ndie mwenye roho mbaya.Wanaposhughulikiwa hawa wa sasa ambao zamani walikuwa wanakula maisha, mleta mada unaumia moyoni.
Unatamani siku zifike haraka ili uwe mmojawao watakaolishuhudia anguko la Makonda!!. Duh hii ni hatari, je kama Muumba hajampangia hilo anguko unaloliota, hayo maono yako ya leo hii yatakuwa na faida gani ikifika hiyo siku unayoiota??.
Punguza kinyongo na roho mbaya, wekeza kwenye fikra chanya za kimaisha.
Jumlisha Gumbo, Happya na Mnyeti.Be the first to reply,
Ni sawa sawa na alivyokua Nape Nnauye enzi zake, ilikua kama CCM ndio yake vile, akitembea anajitutumua kisa tu Katibu Mwenezi anaembatana na GS Kinana kila mahali
Mkuu Salary Slip leo ni July 2017 unaanza kuongelea mambo ya 2026 na kuendelea, haujioni kana kwamba una kinyongo fulani??.wewe ndie mwenye roho mbaya.
Duuh! Only God !Lini wkt mkulu ni wa milele
While Zuma anawaza kwenda DUBAIAtakimbilia SA
Atakimbilia SA