Bashiru Ally: Rebirth of Chachage?

Aisee.

Ni kweli wakulima hawatahiminiwi toka siku nyingi, sasa kwa huu utawala wa Jiwe ndio majanga kabisa
 
Naona haitawezekana kumfananisha Bashiru Ally na Sethy Chachage. kwa hii minong'ono kwamba Dr. Bashiru Ally anaweza kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Kinana.
Amekua sasa
 
Naona haitawezekana kumfananisha Bashiru Ally na Sethy Chachage. kwa hii minong'ono kwamba Dr. Bashiru Ally anaweza kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Kinana.
hii ndo jamii forum bana.
 
Vichwa km hivi sijui vilipotelea wapi hapa jamii forum
 
Naona haitawezekana kumfananisha Bashiru Ally na Sethy Chachage. kwa hii minong'ono kwamba Dr. Bashiru Ally anaweza kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa CCM baada ya Kinana.


Hivi Watu huwa mnaoteshwa au nyie ndio Usalama wa Chama! Kongole utabiri wako umetimia siku ya jana , 29/05/2018.
 
JF idumu mwaka 2011 huyu MTU watu walishamtilia mashaka,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…