Bashe umeudanganya Umma , nani mmiliki wa ndege ya kupuliia dawa?

Bashe umeudanganya Umma , nani mmiliki wa ndege ya kupuliia dawa?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,177
Reaction score
41,623
Nani ni owner wa hii ndege ya kupulizia dawa? Mwezi May tuliaminishwa kuwa serikali ya TZ imeinunuwa kwa hela nyingi sana. Current data zinaonyesha owner ni Africair walioko Miami, FL, USA.


IMG_0716.jpeg
IMG_0717.jpeg


Britanicca
 
Ufisadi na Samia,Samia na ufisadi huyu ndiye chanzo Cha yote maana aliwaambia wale halafu wanyamaze.

Ndio maana tunataka Samia atupishe kwa sababu kuu tatu ufisadi, Kuhatarisha usalama wa Taifa na kuvunja katiba ya nchi.
 
Aisee, nafikiri ni reg no tu inaweza kufanyiwa utaratibu wa kuibadirisha.

Dunia ya sasa kuna vitu sio issue kabisa, mfano kununua hizo ndege, ziko nyingi tu mitaani huku na huhitaji hizo 6B kununua hizo ndege.
6B unanunua mbili zenye capacity kubwa na kuzifanyia transformation ya kuweka tank kubwa na kuweza kutumika eneo kubwa.

Ndani ya mitaa ya Rostov - Russia.
 
Nani ni owner wa hii ndege ya kupulizia dawa? Mwezi May tuliaminishwa kuwa serikali ya TZ imeinunuwa kwa hela nyingi sana. Current data zinaonyesha owner ni Africair walioko Miami, FL, USA.


View attachment 3420572View attachment 3420573

Britanicca
WAHUNI WAKAFUTA NAMBA 8 Kwenye ndege na kuigeuza isomeke Kama "E" ili tusiweze kuitrack! Dah!

Ukitrack namba Ne011V kama walivyokuwa wametupana inaonyesha hakuna ndege ya aina hiyo..

But UKWELI NOW UMEJULIKANA!
 
Aisee, nafikiri ni reg no tu inaweza kufanyiwa utaratibu wa kuibadirisha.

Dunia ya sasa kuna vitu sio issue kabisa, mfano kununua hizo ndege, ziko nyingi tu mitaani huku na huhitaji hizo 6B kununua hizo ndege.
6B unanunua mbili zenye capacity kubwa na kuzifanyia transformation ya kuweka tank kubwa na kuweza kutumika eneo kubwa.

Ndani ya mitaa ya Rostov - Russia.
Tatizo sio kununua.
Kinanachoangaliwa sio ndege, kinachoangaliwa ni kuwa Abdul kapata mgao wake? Je ni kiasi gani? Umuhimu uko hapo
 
Collabo ya msomali na mzanzibar kuboresha wizi na utapeli wao, wanamdanganya mtanzania yupi asiyewaelewi ulaghai wao??
 
Mimi nakuambia Iko siku tu..kwani Burkina faso walijua watampata traore?
Kuna watu watakuja kunyongwa Tanzania hii we subiri kama sio wao watoto wao watalipia uhalifu wanaofanya wazaz wao kwa sasa...
Umeongea mambo ya msingi ndugu yangu

Hii inchi Kuna watu watakuja kunyongwa na huo ndo ukweli

Nchi imejaa mafisadi na rais naye ni kilaza kama nini yaan

Tuna Rais mjinga sana
 
Back
Top Bottom