Shida nayoiona ni kubwa kuliko huu uelewa hafifu wa major issues anaouonyesha.Dogo ni overrated sana!
We will see!
New Habari ilimshinda!
Pia biashara anayojitapa nayo eti anaijua sana,naona hana kitu alishafanya cha maana humo,case in point New Habari!
Dogo ni overrated sana!
We will see!
New Habari ilimshinda!
Pia biashara anayojitapa nayo eti anaijua sana,naona hana kitu alishafanya cha maana humo,case in point New Habari!
Kwa ujumla hatujawahi kuwa na Waziri wa Kilimo.Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.
Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.
Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?
Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.
Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.
Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?
Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
Kuanzia lini?Kwa ujumla hatujawahi kuwa na Waziri wa Kilimo.
Who exactly overrates the kid ?Dogo ni overrated sana!
We will see!
New Habari ilimshinda!
Pia biashara anayojitapa nayo eti anaijua sana,naona hana kitu alishafanya cha maana humo,case in point New Habari!
Kutafuta dosari na kukosoa wengine katika wayafanyayo ni kazi rahisi sana.
Urahisi huo unatokana na ukweli wa kwamba hakuna kitu wala mtu aliye timilifu.
Kwa hiyo, kwa mtaji huo, chochote utachojisikia kukikosoa au kukitoa dosari, utaweza kufanya hivyo.
Sasa Bashe kapewa mamlaka na majukumu. Kilichobakia ni kusubiri kuona kama yeye yuko tofauti sana na sisi watu wengine [tulio na kasoro nyingi].
Tutaona sasa kama ataweza kufanya kazi tofauti na waliomtangulia na sambamba na ule ukosoaji wake kabla hajapewa haya madaraka.
Who exactly overrates the kid ?
Mkuu Paul Alex!...Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.
Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.
Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?
Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
Hapo kwa kweli kachemka sana,yetu machoBashe anataka mlaji ajue mwenyewe atapata wapi chakula na awe tayari kwa bei yeyote ya chakula na hichi kwa maelezo yake ndio anachokiita food security.
Yeye anasimamia fursa za masoko kumwezesha mkulima auze alichonacho kwa bei nzuri.
Which means mlaji wa ndani awe tayari kushindana na masoko yote ya nje na ndani ili kupata hicho chakula.
Mpaka hapo unadhani yuko sawa?
Mkuu Paul Alex!...
Bandiko lako hili limenishawishi kuamini kuwa wewe una ufahamu mkubwa kwenye sekta ya kilimo ambayo kimsingi haiachani mbali sana na biashara pamoja na kwamba hakijawahi kufanya vizuri kiasi cha kulinufaisha nchi hii, achilia mbali wakulima wenyewe. Bashe ametoa mchango wake na kwa bahati nzuri yuko kwenye nafasi ya kutekeleza nadharia zote kwa vitendo mahali ambapo kuna uhitaji.....
Naamini kuwa palipo na Tafsiri na nadharia 200 ambazo wewe unazifahamu vizuri, yeye akitaja moja ni wajibu wako kama msomi umuongezee zile ambazo hakuzitaja ili aone umuhimu wa kuziweka maanani !!... Taifa hili linahitaji wasomi kama wewe watumie usomi wao kufanya mabadiliko yenye tija hasa kwenye kilimo ambacho ndio nguzo ya taifa hili....
kumbeza mtu kwenye hoja yake wakati wewe hoja yako hujaiwasilisha kwake rasmi ili ijadiliwe, inabaki kuwa hadithi tu zisizotusaidia kitaifa.
Bashe anatakiwa atulie ajifunze kwanza asianze kuja na matamko akidhani bado ni Mbunge. Kwa sasa yupo serikalini na akumbuke hana dhamana ya wizara yeye mi mshauri wa Waziri mwenye dhamana. Anaweza kuwa mzuri sana lakini kutulia na kujifunza ni suala jema sana asije akakurupuka na matamko ambayo hayawezekani mwishowe akaonekana hajui wala hafai.Nimemsikiliza Bashe- Naibu waziri kilimo akielezea food security, well, amechemka sana!
Dhana ya food security haiko tu katika individual economic ability to purchase basic food stuffs kama alivyoielezea Bashe.
Food security imekuwa karibu na definitions 200 na zote zinabeba yafuatayo;
1.Physical, socia and economic ability to access and purchase basic food stuffs.
2.Availability of those basic food stuffs.
3.Ability to meet expanding food needs and offsetting fluctuations in production and prices.
Mpaka hapo nadhani atapata shule kidogo.
Pili, kumfananisha mkulima na mfanyabiashara ni kukosea sana.
Kilimo ni sekta inayopewa ruzuku sana na serikali. Umewahi kusikia mfanyabiashara akipewa ruzuku?
Unadhani ni kwanini ruzuku nyingi kutoka serikalini zinaenda kwenye kilimo?
Bashe yuko very confident but his understanding of issues is erratic at best!
Inawezekana siyo mtaalam kwenye eneo hilo so labda alijaribu kuelezea kile anachojua
Bashe yuko sahihi analenga kuinua kipato na hali ya maisha ya mkulima,mkitaka hayo mbayosema toeni ruzuku kwenye kilimo la sivyo mlaaniwe maana inaonekana mnafurahia sana hali mbaya aliyonayo mkulimaShida nayoiona ni kubwa kuliko huu uelewa hafifu wa major issues anaouonyesha.
Shida iko pale atakapotumia mamlaka ya kiofisi kusimamia jambo lisilo sahihi!
Ukimtazama mkulima kama yeye tu na ukaanza kumtafutia masoko kama tu mfanyabiashara unaweza kuumiza watu wengi hasa wa kipato kidogo!