tembeleh2
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 765
- 165
Ubaguzi unaouonyesha hapa kwenye ujumbe wako ndio BABA WA TAIFA ALIUITA UKABURU. Nadhani ungetaja jina lake ingetosha na ujumbe wako ungefika na si asili yake. Tuwekeni utaifa mbele. ukimfuatilia kila mtu katika nchi hii untashangaa asili za watu, inasemekana kwamba ni wagogo tu ndo wenye asili ya tanzania, labda kama wewe ni mgogo.