Wana Bodi Mawaziri Hussein Bashe na Jumaa Aweso kwa sasa wanaonekana kung'ara sana kwa wananchi kutokana na jitihada zao wanazofanya za kuleta mageuzi ya kweli katika Sekta wanazoziongoza nimeona Bashe ameshaanza Programu kubwa ya Kilimo cha Umwagiliaji na mashamba yameshaanza kuandaliwa maeneo ya Dodoma na Aweso tunaona anavyopambana na wakandarasi kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi mijini na vijijini sasa yuko Kigoma.
Mawaziri wengine wako wapi.
Mawaziri wengine wako wapi.