Bashe amlipua Membe

Bashe amlipua Membe

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Habari nilizozipata muda huu kwenye chanzo cha kuaminika zinasema kwamba Hussein Bashe yupo anafanya press conference miongoni mwa yaliyojiri ni kwamba kamshukia Membe kwamba ni MNAFIKI na anaishi kwa kubebwa huku akimtumia kibaraka wake bw Lazaro Nyalandu kumchafua,bado anaendelea kuzungumza akimaliza tu uzi wote hapa.Narudi jikoni.
 
Ili CCM ife kifo cha ASILI, hakuna JIWE litaachwa kusimama juu ya JIWE lingine. Kwasababu NGUZO kubwa inayokiongoza chama hiki ni FITINA na RUSHWA tunazozishuhudia waziwazi sasa. Hili linatokana na mfumo wa kinafiki na mitandao/makundi waliojitengeneza wenyewe. Sasa kila kundi linajiona lipo juu na hakuna linalotaka kujishusha. Walianza kwa uchaguzi wa Urais, wakaingia kwenye chaguzi zao za ndani ambao sasa ndiyo SUMU yao kubwa waliojitengenezea.
 
Mara wengine wameomba kujiuzu,hawa wanalipuana!Hakika mwisho umefika
 
Safi sana bashe lazima kujibu mapigo bhana kwani nini wao ndio wawaonee kila siku nyie mkikaa kimya inakula kwenu penda reaction hiyo.
 
kwanini lakini haya malumbano ndani ya ccm??????????????
 
kila jambo litawekwa wazi tu....hakuna marefu yasiyo na ncha wajameni.....
 
Back
Top Bottom