ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Afrika haihitaji kusaidiwa. Afrika inahitaji kupewa haki yake kwenye keki ya dunia ili tuweze kutumia rasilimali pamoja na kuleta maendeleo ya nchi yetu. Muda mwingi kumekuwa na lugha ‘jinsi gani tutawasaidia wakulima wadogo.' Wakulima wadogo wa Afrika hawahitaji msaada, wanahitaji kupata mgao wao sahihi wa rasilimali za kimataifa.
--
My Take
Baada ya Rais Samia 2030 Bashe ndio Anafaa Awe Rais wa Tanzania,tutafika mbali.
--
My Take
Baada ya Rais Samia 2030 Bashe ndio Anafaa Awe Rais wa Tanzania,tutafika mbali.