mi nawashangaaa sanaaaa eti udini??? Udom kuna waisilamu takribani 1,500 na wakristo takriban 18,500 waislamu hawafiki asilimia kumi ya chuo why mseme jk kaleta udini why mseme bashe ni mdini hivi watu hao wachache watamuekaje kiongozi madarakani?? Nyie ni wasomi tumieni akili msikurupuke. Nafkiri udom tujifundishe kuflash tukienda chooni kabla hatujaanza kupayuka kuhusu tusiyoyajua