Afadhali maana huo wimbo una kilevi cha ajabu ukiusikiliza tu mwenyrwe unaanza kuimba hautoki kichawaniBaraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
Mbona nme uplai saiv YouTubeBaraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
Kuna lugha ya picha mule? Siku hizi wasafi wamegeuka wachafu ni matusi tu hivi yule boss wao hana aibu mbele ya mama yake anaeshinda nae kutwa nzima mtoto ana sifu ngono tu.Lakini mbona katumia lugha ya picha jamani... ambacho ndio maana ya usanii. angesema waziwazi hapo ndio ingekuwa vibaya
Daah lakini huu wimbo ulikuwa hatari sana.
Ulikuwa na amshaamsha kama zote.Hatari Yake Ni Nini?
UNAITWAJE?Mbona nme uplai saiv YouTube
Bora wimbo hauna adabuBaraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
==================================
Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) limetangaza kuufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny kwa maelezo kuwa unahamasisha masuala yasiyokubalika katika jamii.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza ameiambia Mwananchi leo Jumatatu Novemba 12,2018 kuwa wameufungia wimbo huo ambao amemshirikisha Diamond Platnumz na kupiga marufuku kuchezwa mahali popote.
Ameongeza kuwa wanawasiliana na mamlaka nyingine ili kuchukua hatua zaidi kwa kuwa tayari wimbo umeenea mitandaoni.
Kuhusu kupigwa katika tamasha lao la Wasafi linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 24 mwaka huu amesema nalo watalifungia iwapo watautumia.
“Tumesikitishwa sana na msanii mkubwa kama Diamond kushiriki kuimba wimbo usio na maadili kwa kuwa ni msanii mkubwa anayetazamwa kama kioo na jamii,” anasema.
Ameainisha kuwa maneno yaliyotumika katika wimbo huo yanahamasisha ngono kinyume na maumbile na matusi mengine yanayobomoa maadili.
“Nimesikitishwa sana na maneno yaliyotumika, hivi wanavyoimba hivyo hawaoni kama ndugu zao wanaweza kusikiliza wimbo huo? Maana kutamka hadharani ni sawa na kuongea mbele ya mama yake au watoto wake,” alifanunua.
Mwananchi
hili Jambo jema, ingawa BASATA wanatakiwa waweke utaratibu wasanii kabla ya kutoa nyimbo zao wapeleke kazi zao ili zichujwe maudhui, maana tayari tunao🎶Baraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
==================================
Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) limetangaza kuufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny kwa maelezo kuwa unahamasisha masuala yasiyokubalika katika jamii.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza ameiambia Mwananchi leo Jumatatu Novemba 12,2018 kuwa wameufungia wimbo huo ambao amemshirikisha Diamond Platnumz na kupiga marufuku kuchezwa mahali popote.
Ameongeza kuwa wanawasiliana na mamlaka nyingine ili kuchukua hatua zaidi kwa kuwa tayari wimbo umeenea mitandaoni.
Kuhusu kupigwa katika tamasha lao la Wasafi linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 24 mwaka huu amesema nalo watalifungia iwapo watautumia.
“Tumesikitishwa sana na msanii mkubwa kama Diamond kushiriki kuimba wimbo usio na maadili kwa kuwa ni msanii mkubwa anayetazamwa kama kioo na jamii,” anasema.
Ameainisha kuwa maneno yaliyotumika katika wimbo huo yanahamasisha ngono kinyume na maumbile na matusi mengine yanayobomoa maadili.
“Nimesikitishwa sana na maneno yaliyotumika, hivi wanavyoimba hivyo hawaoni kama ndugu zao wanaweza kusikiliza wimbo huo? Maana kutamka hadharani ni sawa na kuongea mbele ya mama yake au watoto wake,” alifanunua.
Mwananchi
baraza wanaumwa hivi , wanafungiaga nyimbo wasizo zipendeza . iv ile ngoma ya mhogo wajarombe mbn hawaifungiagi wanaumwa dadekiBaraza la Sanaa nchini limeufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny aliomshirikisha Diamond likisema unahamasisha masuala yaliyo kinyume na maadili
==================================
Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) limetangaza kuufungia wimbo mpya wa mwanamuziki Rayvanny kwa maelezo kuwa unahamasisha masuala yasiyokubalika katika jamii.
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mngereza ameiambia Mwananchi leo Jumatatu Novemba 12,2018 kuwa wameufungia wimbo huo ambao amemshirikisha Diamond Platnumz na kupiga marufuku kuchezwa mahali popote.
Ameongeza kuwa wanawasiliana na mamlaka nyingine ili kuchukua hatua zaidi kwa kuwa tayari wimbo umeenea mitandaoni.
Kuhusu kupigwa katika tamasha lao la Wasafi linalotarajiwa kuanza kutimua vumbi Novemba 24 mwaka huu amesema nalo watalifungia iwapo watautumia.
“Tumesikitishwa sana na msanii mkubwa kama Diamond kushiriki kuimba wimbo usio na maadili kwa kuwa ni msanii mkubwa anayetazamwa kama kioo na jamii,” anasema.
Ameainisha kuwa maneno yaliyotumika katika wimbo huo yanahamasisha ngono kinyume na maumbile na matusi mengine yanayobomoa maadili.
“Nimesikitishwa sana na maneno yaliyotumika, hivi wanavyoimba hivyo hawaoni kama ndugu zao wanaweza kusikiliza wimbo huo? Maana kutamka hadharani ni sawa na kuongea mbele ya mama yake au watoto wake,” alifanunua.
Mwananchi