Luvanga1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,025
- 1,700
Kwetu NyegeziAii nyege nyegeeeeezi.. Wamechelewa aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu NyegeziAii nyege nyegeeeeezi.. Wamechelewa aisee.
Heheh, mtaani huko lisha-hit linapigwa na kila bodabodaKwetu Nyegezi
Wamechelewaa, yani kitaani kwetu hiyo bodaboda ndio Wimbo wa taifaHeheh, mtaani huko lisha-hit linapigwa na kila bodaboda
Mama mwenyewe vijana wadogo wanamtoa nyegezKuna lugha ya picha mule? Siku hizi wasafi wamegeuka wachafu ni matusi tu hivi yule boss wao hana aibu mbele ya mama yake anaeshinda nae kutwa nzima mtoto ana sifu ngono tu.
Yeye na mama ake wote wanashabikia Ngono kupita kiasiKuna lugha ya picha mule? Siku hizi wasafi wamegeuka wachafu ni matusi tu hivi yule boss wao hana aibu mbele ya mama yake anaeshinda nae kutwa nzima mtoto ana sifu ngono tu.
Mh! We MtotoSema jisongi faya lile... Nitakua naucheza chumbanii mwenyewe maana ninao.
Aiii nyege nyege kwetu Mwanza Nyegezi..
Hiyo ni changamoto. Wasanii wako wengi sana na kila siku wanatoa nyimbo mpya nafikiria itawawia vigumu kuhakiki kazi ya kila msaniiBASATA kwanini msiweke sheria kabla msanii hajatoa wimbo upelekwa kwanza BASATA wauhakiki maudhui yake ndiyo wauruhusu kutoa hewani?
Kwanini wanaacha hadi wimbo umesha fika mtaani ndiyo wanaufungia???
Wao ndio wakwanza kuupiga mkuu niliusikia kwao kwa mara ya kwanza.Cha Ajabu Toka Umetoka Huo Wimbo Haujawah Kupigwa Wasafi Fm Sijui Walishajua Kitakachotokea Mbeleni