mkudugwa
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 226
- 222
Mbona UKAWA wanatembea na fisadi, mteja namba moja wa mahamaka maalum ya mjizi na mafisadi ya Magufuli?
umenichekesha wewe! Ila dah CCM wajeuri.
Mbona UKAWA wanatembea na fisadi, mteja namba moja wa mahamaka maalum ya mjizi na mafisadi ya Magufuli?
Ni vema ukaiweka akili yako na kuwa sawa kama binadamu aliyekamilika kuliko kujishushia hadhi kwa kuandika ujinga, ulichokiweka ni tofauti kabisa na mada husika Tambua kuwa shilole alihukumiwa sasa unapokuja na suala la Lowasa unaonekana kabisa ni mtu usiye na akili hata chembe kwani hakuna Mahakama au sehemu yeyote ndani na nje ya nchi hii ambapo Lowasa aliwahi kushitakiwa.Mbona UKAWA wanatembea na fisadi, mteja namba moja wa mahamaka maalum ya mjizi na mafisadi ya Magufuli?
Lako umeishaliona?Nyani haoni kundule.
Wewe subiri mahakama sisi wananchi tunamjua ni mwizi. Hapa Songea leo tumemuandalia mapokezi maalum ya mwizi.
Mkuu, alizuia kushiriki shughuli za siasa au sanaa?