Barua za Ajira Portal

Barua za Ajira Portal

MADABACHU

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2020
Posts
325
Reaction score
379
Je ukiandiaka Application letter ambayo inazidi page moja Kuna shida? Mfano page mbili hivi.

Naomben majibu
 
  • Thanks
Reactions: JMF
Page mbili zote unaandika nini ndugu??[emoji23][emoji23][emoji23],au una PhD nyingi kama za yule Mzee muomba U-Spika??
Ndio tumechanganyikiwa hivyo maana kazi hizi zimekuwa kilio tu[emoji23][emoji23]
 
Ndio tumechanganyikiwa hivyo maana kazi hizi zimekuwa kilio tu[emoji23][emoji23]
Je ukiandiaka Application letter ambayo inazidi page moja Kuna shida? Mfano page mbili hivi.

Naomben majibu
Achana na swala la kuandika page mbili au tatu ila kuna swala Je inapaswa kuandikwa kwa mkono yaan hand written au iwe typed?
Wakulungwa wenye majibu naombeni
 
Page moja tu mkuu, maana CV yako, recommendation letter na taarifa zingine wanazo. Barua yako iwe fupi lakin clear.
 
Page moja tu mkuu, maana CV yako, recommendation letter na taarifa zingine wanazo. Barua yako iwe fupi lakin clear.
Recommendation letter kutoka wapi?
Mbona utumishi hawana hizo mbwembwe!
 
Recommendation letter kutoka wapi?
Mbona utumishi hawana hizo mbwembwe!
Icho kipengele kipo unaweka recommendation letter from your previous supervisor au employer ni nzuri kwa interns

Screenshot_20220123-160014.png
 
Recommendation letter kutoka wapi?
Mbona utumishi hawana hizo mbwembwe!
Mkuu kuwa makini, na ile barua ni muhimu sana. Kwenye sehemu ya other attachments kuna CV, Birth certificate na hiyo recommendation letter.
 
Wakuu

Kila picha nayoweka ajiraportal wasema ni kubwa
nimejaribu hadi kuweka yenye 77kb bado inakataa
 
Naomba Nitumie sample ya recommendation letter hapa au hata
WhatsApp
0755340150
 
Back
Top Bottom