Tayari kuna mhenga ametafsri hapo juuEndelea kuvumilia kidogo mkuu, vijana watakuja kutafasiri...🤗
Napokea maombi.Mimi na mke wangu tutakuombea ili Mungu afanye moyo wako uwe mwepesi na uweze kubadikika..☺️
Usiku wa kuzogoa shangazi umeishia njian kulikoni siku saba hukumaliza
Karibu sana mkuu, ndoa ni jambo jema sana na Mungu akikuongoza ukapata mke anaekutii na kukusikiliza kisha ukampenda..... hakika utaifurahia ndoa.Nikitaka kuoa kaka nitakutafuta una hekima sana kwenye maisha ya familia ndoa . 🙏
Tukipata nafasi nitakuja kabisa na jiko langu mtupe shule wewe na mkeo. Ukiachana na ulevi wako hapo una nyota tanoo
Ukiona ndoa yako imefikia hatua hiyo mkuu, vunja ndoa.Some women wanakatala hata kuwapea waume zao uroda. Manzi unamuwowa, unalipa bride price, then anaanza kukuwa buffalo soldier kwa nyumba ulifanya kwa mikono yako.
Sasa hii ni ile kitu mungu wetu hapendi
Shida Moja iko ni kwamba mimi ni mulokole, ya kwamba when I break it ndiyo itakuwa mwisho wa mimi kufanya ngono.Ukiona ndoa yako imefikia hatua hiyo mkuu, vunja ndoa.
Ndoa ni furaha na amani, na kama hayo yote hayapo basi hauto ifurahia ndoa aiseee...
Msaada wa kueleweshwa mie lasabaD jamani!
Hakika Mkuu huwa wanatujeuria bila sababu 😂😂😂 wakishafika 30+ value yao huanza kushuka halafu wanakuwa watu wa makasiriko bila sababuBadilika mama, utakuja jikuta umeachwa then jeuri na kibri haito kusaidia.
Sisi wanaume tunabeba mambo mengi sana, na kwakua hatilii mbele za wake zetu basi dunia inatuelemea sababu hatuponi
Kwa nini sitaki nataka zinakua nyingi mpaka mwanaume anakukatia tamaa, anaamua kukupotezea...Msaada wa kueleweshwa mie lasabaD jamani!
Destiny inakua haijaamuaaaaa!:Kwa nini sitaki nataka zinakua nyingi mpaka mwanaume anakukatia tamaa, anaamua kukupotezea...