Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,879
Mzunguko wa Matamko Yasiyo kuwa na Maana
Hope unamwambia aliyeisaini ambaye pia ni profesa.Huenda hii barua ikawa ni fake na kama sio fake basi mwandishi arudi shule kujifunza uandishi wa barua za kikazi.
Na kweli!!!!!Mungu mwema. Halafu walioandika wamekosa weledi wa uandishi. Ukishaweka cc: Katibu Mkuu Kiongozi ni automatic kuwa mkulu na msaidizi wake wa karibu wameshaipata. Sasa kuwa cc tena ni duplication na sifa zisizo na sababu!