flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,343
Jana MB zangu kama 100 hivi zilipita wima ila Leo nashukuru nimepewa MB 300. Vodacom kazi nikwako!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajarudisha bando bali wametoa Mb 300 za bure zitumike ndani ya saa 24.Voda wana tabia ya kurudisha bando kwa wateja wake nafikiri ni mapema sana kutoa lawama tusubiri 24 hrs zipite kwanza
Unanipa fidia ya MB 300 Wakati nimepoteza Zaid ya MB1000.Huu si wizi wa wazi? Walinisababishia usumbufu nikaunga bundle jingine nikijua like la awali limekwisha muda wake, sasa wataweza kurudisha bando langu?piga *149*03*01# chagua 300mb upate fidia yako!
Unanipa fidia ya MB 300 Wakati nimepoteza Zaid ya MB1000.Huu si wizi wa wazi? Walinisababishia usumbufu nikaunga bundle jingine nikijua like la awali limekwisha muda wake, sasa wataweza kurudisha bando langu?
TCRA nao ni sehemuNdugu Mkurugenzi (TCRA)
Mnamo tarehe 23/02/2020
Kampuni ya Vodacom ilisitisha huduma ya Internet kuanzia alfajiri majira ya saa kumi na mbili na kurudisha usiku wa siku hiyo. Hakukutolewa taarifa kwa wananchi hadi saa 7 mchana.
Wakati hayo yanafanyika tayari kuna wananchi walikuwa tayari wameshajiunga vifurushi mbalimbali jana yake yaani tarehe 22/02/2020 ambavyo vingeisha muda wowote katika tarehe iliyofuata yaani tarehe hiyo ambayo mtandao haukuwepo.
Hata hivyo kutokana na kutokuwepo kwa mtandao wakati wananchi wangali na bando la data, kisha muda wa bando ulipoisha wananchi hawakunufaika chochote na bando lao kutokana na huduma ya internet kutopatikana na hivyo bando kuisha bure. Kutokana na hilo Kampuni ya Vodacom imewalipisha wananchi bila kuwapa huduma.
Ukiachilia mbali hilo, Siku nzima ambayo mtandao wa Vodacom ulikuwa haupatikani, Bado system za Voda ziliendelea kukubali kuingiza bando kwa njia ya kupiga *149*03# na namba zao nyingine za kuongeza salio la bando. Haya yalifanyika bila kuwataarifu wananchi na hivyo wananchi kuendelea kuweka vifurushi hivyo vilivyopotea bure.
Kibaya zaidi, Kampuni ya Vodacom haikutoa fidia (compensation) kwa wateja kutokana na kutowapa wananchi huduma hiyo.
Kutokana na hilo naiomba mamlaka ya TCRA ichukue hatua stahiki dhidi ya Kampuni hii ya Vodacom kwa kutwaa hela za vifurushi vya wananchi bure bila kuwapa huduma.
Kutokana na hiyo kampuni kutotupa huduma ya siku moja, bila shaka imetengeneza mabilioni ya bure kitu ambacho sio halali wala haki.
Ninaamini kuwa katika Serikali hii ya Mheshimiwa Rais Magufuli wananchi hatutoibiwa kirahisi rahisi na makumpuni ya aina hii na haki zetu zitalindwa.
Ni matumaini yangu barua hii ya wazi itafanyiwa kazi.
Wako katika ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation (Kombora hatari la ulinzi wa Taifa)
Nakala kwa
Waziri wa Mawasiliano
Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kuna waliopoteza kiasi kikubwa zaidi ya 300M inabidi kila mtu arudishiwe kiasi kilicho expire kabla hajakitumia.
Mbona mimi sijaona hiyo fidia?
Kwangu mimi wameshanifidia bando la internet lililopotea siku ya janaNdugu Mkurugenzi (TCRA)
Mnamo tarehe 23/02/2020
Kampuni ya Vodacom ilisitisha huduma ya Internet kuanzia alfajiri majira ya saa kumi na mbili na kurudisha usiku wa siku hiyo. Hakukutolewa taarifa kwa wananchi hadi saa 7 mchana.
Wakati hayo yanafanyika tayari kuna wananchi walikuwa tayari wameshajiunga vifurushi mbalimbali jana yake yaani tarehe 22/02/2020 ambavyo vingeisha muda wowote katika tarehe iliyofuata yaani tarehe hiyo ambayo mtandao haukuwepo.
Hata hivyo kutokana na kutokuwepo kwa mtandao wakati wananchi wangali na bando la data, kisha muda wa bando ulipoisha wananchi hawakunufaika chochote na bando lao kutokana na huduma ya internet kutopatikana na hivyo bando kuisha bure. Kutokana na hilo Kampuni ya Vodacom imewalipisha wananchi bila kuwapa huduma.
Ukiachilia mbali hilo, Siku nzima ambayo mtandao wa Vodacom ulikuwa haupatikani, Bado system za Voda ziliendelea kukubali kuingiza bando kwa njia ya kupiga *149*03# na namba zao nyingine za kuongeza salio la bando. Haya yalifanyika bila kuwataarifu wananchi na hivyo wananchi kuendelea kuweka vifurushi hivyo vilivyopotea bure.
Kibaya zaidi, Kampuni ya Vodacom haikutoa fidia (compensation) kwa wateja kutokana na kutowapa wananchi huduma hiyo.
Kutokana na hilo naiomba mamlaka ya TCRA ichukue hatua stahiki dhidi ya Kampuni hii ya Vodacom kwa kutwaa hela za vifurushi vya wananchi bure bila kuwapa huduma.
Kutokana na hiyo kampuni kutotupa huduma ya siku moja, bila shaka imetengeneza mabilioni ya bure kitu ambacho sio halali wala haki.
Ninaamini kuwa katika Serikali hii ya Mheshimiwa Rais Magufuli wananchi hatutoibiwa kirahisi rahisi na makumpuni ya aina hii na haki zetu zitalindwa.
Ni matumaini yangu barua hii ya wazi itafanyiwa kazi.
Wako katika ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation (Kombora hatari la ulinzi wa Taifa)
Nakala kwa
Waziri wa Mawasiliano
Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mkonga wa mawasiliano umekatika baharini,wao ndo wamesababisha?kikubwa tuwe waelewa.Na wale waliokosa kufanya biashara kwa kushindwa kutoa pesa kutoka M-pawa,na wao wanalipwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app