Barua ya wazi kwa malkia wa Uingereza, lolote na liwe

Rais hugo chaves wa venezuela kapunguza umasikini kwa 50% tangu aliposhika nchi mwaka 1999 pamoja na kuumwa kwake!sisi marais wanashindana kumiliki makampuni jk na mkapa
 
Ningekua ninauwezo ningefuta falsafa za siasa na uchumi niweke falsafa za kilimo kwakua nataka kula na science ili ni starehe. Nimechoka kusikia habari za wanasiasa ambao hawajui ulimwengu unataka nini na hata kama wanajua hawawezi kutoa solutions zaidi kuwatafuta wakulima na wanasayansi. Nafikiri utawala wakifalme ni bora kuliko huu wa kuonyeshana utaalamu wa kupiga domo na drama za hisia kwenye umani wa watu. Kaka Tanzania hii haitatoka kwenye ukoloni kwakua tumeshakunywa supu ya damu ya kikolon, baba zetu walio wengi walishazoea kupigwa viboko kwamaan hawawezi kujiongoza wao wenyewe mpaka wapigiwe kelele nakunyenyekea wazungu (Bulshit) kama miungu dunia, inashangaza kuona wasomi uchumi,afya, uandisi wankimbilia kwenye siasa wakati hawakusomea siasa, hii inamaanisha hawajitambui ila wanatamaa! Kaka usiangaike kutafuta ukoloni tayari tupo kwenye halio hiyo tofauti ni kwamba siku hizi hawachapi viboko vya fimbo ila kwa njaa na vita!

ndo mana nimesema warudi basi, maana bora wale kuliko wenzetu weusi wazandiki wakubwa, wakisimama bungezi mimi huwa nazimia
 
Ina maana mkoloni arudi afufue reli zake,bandari zake,mashamba makubwa ya kahawa,chai,katani,michikichi kigoma ili tupate ajira au?maana utawala wetu umeviua makusudi

tena usiseme. na udongo wanaubeba je, wanyama je, halafu unasimama unasema tunauhuru, nyerere kichwa jamani acheni tu, alitaka ujamaa wake mwenyewe, bora sana, akitokea chama chenye sura ya nyerere kitatufaa
 
Wewe vipi? Nimeulizwa ndio maana najibu,yule mtu ameniambia good luck katika jitihada zako za kumpelekea message Prince Charles.
 
ndo mana nimesema warudi basi, maana bora wale kuliko wenzetu weusi wazandiki wakubwa, wakisimama bungezi mimi huwa nazimia

Tehe tehe tehe, nilifikiri peke yangu kumbe na wewe ndugu, me ndio nimeamua kukaa mbali na TV na radio kinapoanza kipindi cha mjengoni manaake hua nahisi hali ya hewa inachafuka kabisa wakiaanza kuongea hao ndugu zetu huko mjengoni!
 
ruhusa kutoa mawazo yako coz ata ukisema neno lako co sheria,kwa nini unataka ivo?
 
hata mi ningependa turudi tu tuwe chini ya malkia, hii ikitokea ndoto zangu za mtoto wangu kuchezea Manchester zitakua zimetimia kwa 70%
 
Usipeleke Kule chochote ngoja 2015 CHADEMA watakukukomboa kutoka UTUMWA wa CCM na CUF,wanandoa hawa ni hatari kwa Taifa. Kwanza punguza mikwara yako yote elekeza nguvu yako kwa kuwashawishi vijana wengi kujiunga CDM, ukipata laki moja, au zaidi,wafundishe mbinu za kulinda kura zao kama walivyozilinda kwa Nyika na Mdee
 
Barua ya wazi kwa Malkia wa uingereza, MNIRUHUSU niongee nae japo kwa maandishi na najua wale wenzetu kule westminister mtafikisha ujumbe wangu.

Wale wenzetu wanaokimbilia umoja wa mataifa kupeleka matatizo yao nadhani kwetu sio mahala pema ni kwa huyu kiongozi wa dola ya England,

wakati mmoja niliwahi kuwaza sana, kwamba kwa nini tumepata nafasi na hatuitumii? Na kwa nini tuliwaambia wale watu watuachie tuwe huru wakatuachia/ na kwanini tuliwaambia mnatunyanyasa na bado tunanyanyasika/ na vipi tulisvvvhangilia uhuru na hatuuoni uhuru wenyewe?

Kwa kifupi sana nielezee kwa nini nataka turejeshwe kwa dola ya malkia wa uingereza kama walivyokuwa wametushilia ili tujue moja kwamba tuko chini yake kuliko kuwa chini ya walaghai waliowalaghai wazungu watuachie kumbe tunaangukia mikononi mwao?

Kabla sijaenda mbali nitoe nafasi kwa wana JF mnipe mwongozo, mawazo yenu, au niache kwa nini tusirudi kwenye ukoloni tuliozoea?

kama mtakumbuka kisiwa cha mayote kilishawahi omba kirudishwe mikononi mwa wafaransa, sitaki kujua kama wamerudi au laa, mimi niko Tanzania na nadhani nitetee nchi na watu wetu..karibuni wana JF

Mtu mwenye mawazo ya kukliwa kaliwa, kutumwa tumwa, kunyanyaswa nyanyaswa, na hatimaye kukosa uhuru wake lazima hana akili nzuri katika jamii.

Tuanzie hapa hapa,njoo uwe kibarua wangu na nitakulipa ninavyo penda, utakaa uwani kwngu hutakuwa na likizo ila nitakulisha na utnenepa tu kama ngombe wa maziwa au kuku wa kuchinjwa.

Mtu usiyejua utumwa anausifia!
Kweli kutumika ni roho ya mtu!
 
HIVI DAVID CAMEROON YUPO NCHI GANI VILE?
Ningependa mleta thread ajibu haraka na halafu atuambie kama bado anapendekeza hilo.
 
HIVI DAVID CAMEROON YUPO NCHI GANI VILE?
Ningependa mleta thread ajibu haraka na halafu atuambie kama bado anapendekeza hilo.

Nchi haipo katika Path itayoleta maendeleo. Kikwete amechaguliwa hapa,kila mtu alikuwa na matumaini makubwa.,lakini matumaini yote yamekuwa dashed to pieces. Hakuna maendeleo,imebakia visingizio tu,awamu ya kwanza mpaka awamu ya nne,awamu ya sasa. Waziri wa Fedha alikuwa anasoma bajeti jana,sikumsikia amesema lini anategemea kuwatoa wananchi wote kutoka kwenye umaskini;amesema tu anategemea kuwatoa wananchi wengi kutoka kwenye umaskini. Ndio maana we are very interested tunaposikia kwamba hii njia tuliyoichukua tuliichagua wenyewe. Kama tunataka maendeleo,all options should be on the table. Kuna zone pale katikati;kati ya ukoloni na kuwa ward ya nchi nyingine. Hatusemi Tanzania irudi kwenye ukoloni.Hata tusipokuwa wads wa Uingereza au Marekani,maendeleo yetu probably yatahitaji tushirikiane kwa karibu zaidi na Russia au China,in a special relationship. Hii fiction ya self-determination ndio inaturudusha nyuma,hili wazo kwamba ''indepence is the right to manage or mismanage our affairs.'' How can someone have the right to mismanage his affairs?. And if we wanted to do such a thing,kuileta karibu Uingereza au Marekani,au both UK and US;sidhani kama tutahitaji maoni ya Watanzania 40 au 50 million;possibly tutahitaji tu maoni ya watu 40 au 50;a few key people. Nawasilisha.
 
Nchi haipo katika Path itayoleta maendeleo. Kikwete amechaguliwa hapa,kila mtu alikuwa na matumaini makubwa.,lakini matumaini yote yamekuwa dashed to pieces. Hakuna maendeleo,imebakia visingizio tu,awamu ya kwanza mpaka awamu ya nne,awamu ya sasa. Waziri wa Fedha alikuwa anasoma bajeti jana,sikumsikia amesema lini anategemea kuwatoa wananchi wote kutoka kwenye umaskini;amesema tu anategemea kuwatoa wananchi wengi kutoka kwenye umaskini. Ndio maana we are very interested tunaposikia kwamba hii njia tuliyoichukua tuliichagua wenyewe. Kama tunataka maendeleo,all options should be on the table. Kuna zone pale katikati;kati ya ukoloni na kuwa ward ya nchi nyingine. Hatusemi Tanzania irudi kwenye ukoloni.Hata tusipokuwa wads wa Uingereza au Marekani,maendeleo yetu probably yatahitaji tushirikiane kwa karibu zaidi na Russia au China,in a special relationship. Hii fiction ya self-determination ndio inaturudusha nyuma,hili wazo kwamba ''indepence is the right to manage or mismanage our affairs.'' How can someone have the right to mismanage his affairs?. And if we wanted to do such a thing,kuileta karibu Uingereza au Marekani,au both UK and US;sidhani kama tutahitaji maoni ya Watanzania 40 au 50 million;possibly tutahitaji tu maoni ya watu 40 au 50;a few key people. Nawasilisha.

Hapa tulipo tayari tuko engaged by waingereza and other nations in terms of utilising national resources. we dont have full authority/autonomy over our resources. wapo tayari ndani ya nyumba, tena chumbani wanaendelea KUTUBAKA!
Sasa tukisema tena tuwakaribishe, tunawakaribisha wapi tena!
Mataifa yote yaliyoendelea nia yao kubwa ni mitaji kama vile tunavyotaka sisi hiyo mitaji. Lakini kwa mikataba ipi, hapa ndo penye issue.
Mleta mada naamini kabisa hakuwa na maana ya kutawaliwa wa TZ. lakini kama akili yake ililenga huko, apewe sumu (just kidding).
 
Mtu mwenye mawazo ya kukliwa kaliwa, kutumwa tumwa, kunyanyaswa nyanyaswa, na hatimaye kukosa uhuru wake lazima hana akili nzuri katika jamii.

Tuanzie hapa hapa,njoo uwe kibarua wangu na nitakulipa ninavyo penda, utakaa uwani kwngu hutakuwa na likizo ila nitakulisha na utnenepa tu kama ngombe wa maziwa au kuku wa kuchinjwa.

Mtu usiyejua utumwa anausifia!
Kweli kutumika ni roho ya mtu!

wewe unaakili za kuku, kwa kuwa kichwa panzi, lazima unafikiria kwa makalio, *&^%&% zako, nyinyiem mkubwa wewe.
 
Hapa tulipo tayari tuko engaged by waingereza and other nations in terms of utilising national resources. we dont have full authority/autonomy over our resources. wapo tayari ndani ya nyumba, tena chumbani wanaendelea KUTUBAKA!
Sasa tukisema tena tuwakaribishe, tunawakaribisha wapi tena!
Mataifa yote yaliyoendelea nia yao kubwa ni mitaji kama vile tunavyotaka sisi hiyo mitaji. Lakini kwa mikataba ipi, hapa ndo penye issue.
Mleta mada naamini kabisa hakuwa na maana ya kutawaliwa wa TZ. lakini kama akili yake ililenga huko, apewe sumu (just kidding).

lazma umefikiria kwa kalio moja, fikiria kwa hilo lingine utaelewa vizuri.
 
Nashangaa,Wagaba, unasema Tanzania hii ni yetu wote. Jana wabunge wa CCM wamekutana Dodoma,wanasema,Waziri wa Fedha amesoma bajeti nzuri sana,ameainisha sehemu gani zinahitaji fedha,amezitengea fedha;tatizo tu ni kwamba fedha anazogawa ni kidogo sana ukilinganisha na fedha zilizokusanywa na TRA;ni ndogo sana ukilinganisha na fedha zilizotolewa na wahisani;kuna fedha zimepotea,kuna fedha ambazo hazijawasilishwa Wizarani. Kwa hiyo,wanataka tume iundwe kuichunguza Wizara ya fedha.

Sasa this is an embarrasment,kwa sababu sasa hivi kumefanyika mabadiliko makubwa katika Serkali,kwa nini haya matatizo yanaendelea? Sasa Bunge labda litalaumiwa kwa kuibana mbavu Serkali,kuinyima breathing space,kuizuia kufanya kazi. Sasa matatizo haya yatakwisha lini,na yatakwisha vipi?

Sasa wabunge waache kuikosoa Serikali,au Serikali itajirekebisha,au vipi?
 
Waziri wa Fedha anasema tusiwe na shaka kuhusu deni la Taifa,linahimilika. Tunalotaka kujua ni wizi wa fedha za umma,na lack of efficiency ya baadhi ya viongozi;ni jambo ambalo linaweza kupuuziwa au vipi?
Mtanzania anaweza kusema,''Hata kama maisha yangu siyo mazuri,prospects kwa mtoto wangu au mjukuu wangu ni nzuri?''
 
Back
Top Bottom