hii barua inanikumbusha mbali sana.nilimuandikia mwanafunzi wa kike akaipeleka kwa mwalimu ikasomwa mbele ya wanafunzi baada ya kengere kugongwa.baada ya kusomwa nikapigwa viboko sita.nakumbuka nilikua nmevaa kaptula ya blue.na ndani nlikua sijajaradia wala nini.duh! ni noma sana.mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.