Barua ya Malcom X: Huko Makka Saudi Arabia

zaburi
Taurati
injili
Qur'an

ukielewa huo mtiririko wa hivyo vitabu (kama umevisoma). uje ureview ulichokiandika kama kina make sense...
NO OFFENCE [emoji113]
Ndy haya niliyosema mm,,

Wafia dini..
Wenyewe hayo mambo hawana nafasi nayo.

Nimekwambiya huku ni saudia,,, kuna Chanel hata za kikristo ktk kipindi vyao..
Wala hawabaguani kwa dini zao.

Unataka uniletee kusoma maandiko gani?
 
hujanielewa na hatutoelewana nadhani... let's cut this story...
Nilikuelewa sana mkuu,,

Lakini ile point yako uliposema mwisho ni review kama kina make sense,,

Maana yake niliyoandika haya make sense..

Unajuwa ktk sentence yeyeto,,neno moja linaweza likaharibu maana nzima..

Hapo kama una make sense ndy tatizo lilipoanzia.
 
Waarabu nao pia ni wabaguzi tu...hz n propaganda tu. Ni ndugu zetu wangapi hasa wadada wanaokwenda huko kufanya kazi za ndan kisha wakaanza kunyanyaswa kingono ? Hv kwann sisi ngozi nyeusi tunapenda kuwatukuza ngozi nyeupe
 
Kwa hiyo upumbavu wake ni kuingia kwenye uislam au unataka kumasanisha nn?
Au una maanisha wanao fuata dini ya uislam ni wapuuzi ila wanaofiata ukirsto ni werevu? Ebu fafanua kosa lake ni lipi mpaka uamue kumvunjia heshima kiasi hicho.
 
Waarabu nao pia ni wabaguzi hv n propaganda tu. Ni ndugu zetu wangapi hasa wadada wanaokwenda huko kufanya kazi za ndan kisha wakaanza kunyanyaswa kingono ? Hv kwann sisi ngozi nyeusi tunapenda kuwatukuza ngozi nyeupe
Nadhani hujaelewa makala mkuu
 
Kwa hiyo upumbavu wake ni kuingia kwenye uislam au unataka kumasanisha nn?
Au una maanisha wanao fuata dini ya uislam ni wapuuzi ila wanaofiata ukirsto ni werevu? Ebu fafanua kosa lake ni lipi mpaka uamue kumvunjia heshima kiasi hicho.
Bora uulize wew mkuu
 
Watumwa kutoka Africa waliopelekwa uarabuni waliishia wapi? Mbona katika mataifa ya kiarabu hakuna kizazi cha watu weusi ambacho kinatokana na watumwa waliopelekwa huko enzi za biashara ya utumwa?
hivi nyie mlisoma historia ya wapi sasa mtumwa aende uarabuni akalime nn? watumwa walienda America, Uingereza na Ufaranasa na ndio maana hadi leo athari ya rangi za watumwa zipo acheni kilujitoa ufaham
 
Tangu karne ya 15 mpaka leo watumwa wanapelekwa uarabuni.
hivi nyie mlisoma historia ya wapi sasa mtumwa aende uarabuni akalime nn? watumwa walienda America, Uingereza na Ufaranasa na ndio maana hadi leo athari ya rangi za watumwa zipo acheni kilujitoa ufaham
 
Muslim slavery was not just economic

Unlike the Western slave trade, slavery in Islam was not wholly motivated by economics.
Although some Muslim slaves were used as productive labour it was not generally on the same mass scale as in the West but in smaller agricultural enterprises, workshops, building, mining and transport.
Slaves were also taken for military service, some serving in elite corps essential to the ruler's control of the state, while others joined the equivalent of the civil service.
Another category of slavery was sexual slavery in which young women were made concubines, either on a small scale or in large harems of the powerful. Some of these women were able to achieve wealth and power.
These harems might be guarded by eunuchs, men who had been enslaved and castrated.

Where did the slaves come from?

Muslim traders took their slaves from three main areas:

Non-Muslim Africa, in particular the Horn

Central and Eastern Europe

Central Asia

hivi nyie mlisoma historia ya wapi sasa mtumwa aende uarabuni akalime nn? watumwa walienda America, Uingereza na Ufaranasa na ndio maana hadi leo athari ya rangi za watumwa zipo acheni kilujitoa ufaham
 
Aisee! kweli jf imejaa majitu ambayo ni broke sana, mtu kashasema ameleta uzi sio kwa ajili ya majibizano yenye mlengo wa kidini lakini kuna mangedere tayari yameanza kukuru kakara za kuharibu malengo ya mleta mada.
 
Hujasoma Trans Saharan slave trade au Indian Ocean/Arab slave trade?
Mnaikumbuka Trans Atlantic slave trade tu.
Kuna hizo nyingine mbili na hizo ndio nauliza watumwa wake waliishia wapi?
hivi nyie mlisoma historia ya wapi sasa mtumwa aende uarabuni akalime nn? watumwa walienda America, Uingereza na Ufaranasa na ndio maana hadi leo athari ya rangi za watumwa zipo acheni kilujitoa ufaham
 
Katika kusafir kwangu hakuna watu mashetan kama waarabu. Na hakuna watu wanajiona cku zote wao wako juu kwa kila kitu kama wazungu. na hakuna watu wanaotafute hela kwa namna yoyote kama muasia. Waafrica cc sio watu wa kujifunza. Ni wazee wa lawama. Ni kama vile hawatak kukubali walishawahiwa so wajipange ili wajikomboe hilo hawalitak kila cku ni kulaumu tu mwanzo mwisho. Tumeshindwa kujifunza kwa japan. Maana baada ya kichapo walijipanga sasa hiv wako juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…