FRUIT TREE
JF-Expert Member
- Jun 7, 2018
- 698
- 819
Habari za muda huu wanajukwaa?
Moja kwa moja kwenye mada:-
Nina rafiki yangu yeye ni mtumishi wa umma ana mpango wa kuandika tangazo la kutafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi wilaya nyingine.
Anaomba kufahamishwa namna ya kuandika tangazo(hints) na tangazo hilo lipitie wapi kabla ya kwenda kubandikwa halmashauri anayotegemea kuhamia.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kwa moja kwenye mada:-
Nina rafiki yangu yeye ni mtumishi wa umma ana mpango wa kuandika tangazo la kutafuta mtu wa kubadilishana kituo cha kazi wilaya nyingine.
Anaomba kufahamishwa namna ya kuandika tangazo(hints) na tangazo hilo lipitie wapi kabla ya kwenda kubandikwa halmashauri anayotegemea kuhamia.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app