Barua ya haraka kwa Tundu Lissu

Barua ya haraka kwa Tundu Lissu

Saalam ndugu yangu Lissu,

Mimi Mtanzania niliyekuwa na imani na vyam vya upinzani na viongozi wa juu leo hii nimevunjika moyo sana.

Nimetambua kuwa kumbe viongozi wengi wa upinzani ni njaa tupu na siyo viongozi wa kuwakomboa Watanzania na mkoloni wa ndani.

Hivyo basi, mimi ninaimani na wewe tu kuwa utalikomboa taifa hili na hili shatani kubwa CCM.

Ili mbegu iote lazima itangulie kufa, ni wewe ndiye uliyemwagwa damu kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii, maana hakuna ukombozi pasipo kumwaga damu.

Kwa uchungu uleule uliokupata miaka 3 kitandani nakuomba uwashawishi hao wazungu waje watukomboe maana huku hatuna upinzani wala viongozi wenye uchungu kwa mateso tunayopata watanzania.

Leo hii ninaamini mioyo ya wapenda mabadiriko,wapenda haki na maendeleo ya watu mioyo yao inalia na inavuja damu.

Kitendo cha hawa wamama wa BAWACHA kujipeka bungeni kimeua imani zetu.

NAKUOMBA UBAKI HUKOHUKO UWAOMBE HAO WAZUNGU WATUKOMBOLEE TAIFA LETU
Asante
B/S tupu
 
Saalam ndugu yangu Lissu,

Mimi Mtanzania niliyekuwa na imani na vyam vya upinzani na viongozi wa juu leo hii nimevunjika moyo sana.

Nimetambua kuwa kumbe viongozi wengi wa upinzani ni njaa tupu na siyo viongozi wa kuwakomboa Watanzania na mkoloni wa ndani.

Hivyo basi, mimi ninaimani na wewe tu kuwa utalikomboa taifa hili na hili shatani kubwa CCM.

Ili mbegu iote lazima itangulie kufa, ni wewe ndiye uliyemwagwa damu kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii, maana hakuna ukombozi pasipo kumwaga damu.

Kwa uchungu uleule uliokupata miaka 3 kitandani nakuomba uwashawishi hao wazungu waje watukomboe maana huku hatuna upinzani wala viongozi wenye uchungu kwa mateso tunayopata watanzania.

Leo hii ninaamini mioyo ya wapenda mabadiriko,wapenda haki na maendeleo ya watu mioyo yao inalia na inavuja damu.

Kitendo cha hawa wamama wa BAWACHA kujipeka bungeni kimeua imani zetu.

NAKUOMBA UBAKI HUKOHUKO UWAOMBE HAO WAZUNGU WATUKOMBOLEE TAIFA LETU
Asante
sijapata kuona akili za usiku kama wewe.
Hakuna uzi umenitia hasira na kuniharibia mood kama huu wako

"Lisu washawishi wazungu waje watukomboe" ? Are serious you guy !

Kwa matope yako ya akili ndiyo unaamini mzungu ni mkombozi wa mtu mweusi ! Ungekuwa karibu yangu wewe ningekulamba vibao

Yani majizi yale ndo unasema yaje yatukomboe, tangu lini mzungu akawa na mapenzi na mtu mweusi tena wa kutoka africa

My take, ukiona taifa lolote la kizungu limekuja kuingilia mgogoro africa tena kwa watu weusi ambao wao wanatuitaga nyani, ambao walitufanyisha utumwa kwa miaka isiyopungua mia tatu na mateso juu, basi jua kabisa hapo mzungu haji kukukomboa wewe bali kuiba cha thamani unachomiliki alafu akishamaliza shida yake anaondoka anaawacha muendelee kupigana

Jifunze kutoka kwa libya ambapo NATO waliingia wakisema wanaikomboa libya kutoka kwenye udhalimu wa gaddafi, walifanikiwa kumuua gaddafi lakini nambie amani ya libya iko wapi sasahivi
 
Kila nafsi itaonja mauti,kumbuka sodoma ziwaka moto wote wakateketea
Kumbuka gharika ya Nuhu walikufa wote.
HAITAKUWA MBAYA KWETU
KWANI MNAFIKIRI UGAIDI ULIANZAJE NA LENGO LAKE NI NINI?
Biblia inasema Mwenyezi Mungu aliahidi hataua tena kwa gharika. Haya magharika mengine yatakuwa ya shetani. Ni ya kukemewa.
 
Yaani mdee kapigwa virungu, kavuja damu, kalala selo, makesi kibao sababu ya chadema eti leo wewe una machungu na chadema zaidi ya mdee..
Nigger please!
Angefurukuta kidogo kwenye maandamano yaliyoitishwa juzikati tungemuelewa.
 
hawa wanasiasa mizunguo solution saivi ni kuingia msituni al shabab waaingie tuu..hatuwezi kudhulumiwa haki zetu na wahuni wachache tu akati nchi ni yetu wote
Kwa hiyo haki zetu tuzipate tukishakufa. Yaani yale masanduku na mashada.
 
Hakuna mtu mwepesi kama Tundu Lisu kwanza bora hata hao akina Mdee, huyo Tundu sema CCM tu hawana shida naye wala hawamuhitaji lkn ni mwepesi kama unyoya, akiahidiwa kacheo tu kesho hautamsikia tena.

Wakati ufike muache kuwekeza kwa binadamu msiowajua, ...
Hapo umenena mkuu. Watu wajiulize tu alivyopinga makanikia kupelekwa nje na kusema ni wizi wa mchana. Hata kuandika aliandika na kutoa data. Lakini alipofika bei kwa wazungu hakuna mtetezi wao kama yeye. Mara makanikia ni mali yao. Mara waTZ tutanyolewa kwa chupa bila maji. Bei ya Lissu ilifikiwa. Mara ajitolee kuwatetea ACACIA bure kisa JPM kakamata makanikia yao. Leo eti Lissu ni mtetezi wa TZ. Lissu yupi? Tanzania ipi?
 
TL anapoteza mda tu kuhangaika na wabongoila kama anahangaikia maslahi yake binafsi kwa mgongo wa wananchi ni sawa.Pointi yangu hapa ni kwamba ni heri aache hizo mambo afanye yake kuhangaikia watu wasiojitamua au ambao hawaoni kama unawapigania ni ujinga.
Kila mtu afanye yake maumivu yakizidi atakeumia atafute dawa yake
Uko sahihi kabisa. Watu wakiumwa hutafuta dawa. Ukiona kimya maanake maumivu yanavumilika au hakuna.
 
Saalam ndugu yangu Lissu,

Mimi Mtanzania niliyekuwa na imani na vyam vya upinzani na viongozi wa juu leo hii nimevunjika moyo sana.

Nimetambua kuwa kumbe viongozi wengi wa upinzani ni njaa tupu na siyo viongozi wa kuwakomboa Watanzania na mkoloni wa ndani.

Hivyo basi, mimi ninaimani na wewe tu kuwa utalikomboa taifa hili na hili shatani kubwa CCM.

Ili mbegu iote lazima itangulie kufa, ni wewe ndiye uliyemwagwa damu kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii, maana hakuna ukombozi pasipo kumwaga damu.

Kwa uchungu uleule uliokupata miaka 3 kitandani nakuomba uwashawishi hao wazungu waje watukomboe maana huku hatuna upinzani wala viongozi wenye uchungu kwa mateso tunayopata watanzania.

Leo hii ninaamini mioyo ya wapenda mabadiriko,wapenda haki na maendeleo ya watu mioyo yao inalia na inavuja damu.

Kitendo cha hawa wamama wa BAWACHA kujipeka bungeni kimeua imani zetu.

NAKUOMBA UBAKI HUKOHUKO UWAOMBE HAO WAZUNGU WATUKOMBOLEE TAIFA LETU
Asante
Haya usalama wa Taifa uchwara umemaliza kaI yako ya Leo kapokee chako. Waache wenye chama chao waendelee.
 
Ni hesabu tu,hata hao maneberu wakija kama unavyotaka watatulizwa kwenye mashimo ya dhahabu na Tanzanite na watapoa.
sijui utakimbilia wapi tena pengine.
 
Saalam ndugu yangu Lissu,

Mimi Mtanzania niliyekuwa na imani na vyam vya upinzani na viongozi wa juu leo hii nimevunjika moyo sana.

Nimetambua kuwa kumbe viongozi wengi wa upinzani ni njaa tupu na siyo viongozi wa kuwakomboa Watanzania na mkoloni wa ndani.

Hivyo basi, mimi ninaimani na wewe tu kuwa utalikomboa taifa hili na hili shatani kubwa CCM.

Ili mbegu iote lazima itangulie kufa, ni wewe ndiye uliyemwagwa damu kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii, maana hakuna ukombozi pasipo kumwaga damu.

Kwa uchungu uleule uliokupata miaka 3 kitandani nakuomba uwashawishi hao wazungu waje watukomboe maana huku hatuna upinzani wala viongozi wenye uchungu kwa mateso tunayopata watanzania.

Leo hii ninaamini mioyo ya wapenda mabadiriko,wapenda haki na maendeleo ya watu mioyo yao inalia na inavuja damu.

Kitendo cha hawa wamama wa BAWACHA kujipeka bungeni kimeua imani zetu.

NAKUOMBA UBAKI HUKOHUKO UWAOMBE HAO WAZUNGU WATUKOMBOLEE TAIFA LETU
Asante
Sasa sikia hii, hao wazungu unaowazungumzia kawaite waje hata saivi, hawataweza kufanya lolote. Kama tu wabunge wenu wamewasaliti basi hata wazungu wanaenda kuwasaliti. Siku zenu zinahesabika. Katika Jina la Yesu kuanzia leo nawafuta kwenye uwanja wa siasa wote ambao hamuitakii mema serikali ya Tanzania. Katika Jina la Yesu naaamuru Jamii nzima ya Tanzania na wazungu wawasahau. Amen.
 
Sijaelewa unatuhadithia ndoto uliyoota au umeandika ukiwa timamu, unaweza kutupa mfano wa nchi yoyote ya afrika iliyokombolewa na wazungu.
 
Back
Top Bottom